msaada

alwiy albeity

Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
5
Reaction score
1
Wakuu,mm ni mjasiriamali niko kwenye kilimo,ila nahitaji kusajili shamba langu kama company limited,nafata taratibu zipi?na pia naomba ushauri wenu juu ya hili ,maana nimeambiwa unapokua na kampuni inayojihusisha na kilimo unaweza kuingiza zana na vitendea kazi nchini bila kulipa kodi.pia naomba msaada juu ya hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…