Msaadaa plz wa utata huu !

Msaadaa plz wa utata huu !

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
Wana jf swali langu ni kwamba ivi katika historia ya vyuo vikuu tz kuna mwanafunz alipata gpa ya zaid ya 4.8 !
 
Tumaini, sauti, Ruco, nyerere memorial, cbe, ifm wanapata hadi 5.0

Hapa umeonyesha dharau ndugu yangu.Kama mwanafunzi anastahili kupata hiyo GPA kwa nini asipewe? Ninyi ndo bado mnafikiri chuo ni UDSM tu na mawazo ya ukale ya kukamatana bila sababu.Ila hongera
 
Tumaini, sauti, Ruco, nyerere memorial, cbe, ifm wanapata hadi 5.0

ungejua ugumu uliopo SAUT usiropoka A inaanzia 80, B+ 70, B 60, C 50-59, sasa hiyo first class unadhani itakuja ni rahisis rahisi
 
mzumbe nao hawaban gpa wanabana sana mwanafunzi awe bize pia competition among student ipo juu sana hata kufanya output yao iwe nzuri kuna dada kama sikosei kwa sasa yupo pale Udom anafundisha alipataga gpa 4.9 so inawezekana.
 
Ivi chuo kama SUA huwa kina 1st class kweli?
 
Hapa umeonyesha dharau ndugu yangu.Kama mwanafunzi anastahili kupata hiyo GPA kwa nini asipewe? Ninyi ndo bado mnafikiri chuo ni UDSM tu na mawazo ya ukale ya kukamatana bila sababu.Ila hongera
mnapewa mark up nyingiii hadi mnageuka kuwa wakichina, GPA zenu zimejaa mark up test ndyo maana mnapata 5.0,elimu yenu ipo kibiashara zaidi
 
4.9 mzumbe university bas uyo jamaa nikipaji maalumu wa ukweli kama f6 hakuwa na i.3
 
Hivi hakuna zaidi ya huyo jamaa wa mzumbe mwenye 4.9?
 
Back
Top Bottom