Tetesi: Msaawa wa interview utumishi

Tetesi: Msaawa wa interview utumishi

Bodabodafasta

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
372
Reaction score
366
Nimebahatika kuitwa kwenye interview utumishi kwa kada ya procurement na hii ndio interview yangu ya kwanza utumishi naomba kupata uzoefu kwa watu wa kada ya ugavi waliobahatika kupita kwenye hichi kipindi.....

Ninachohitaji ni maswali wanayopendelea kuuliza both oral and written.

Mbinu za ushindi kwenye interview
 
Back
Top Bottom