baby nillaah
Senior Member
- Apr 7, 2017
- 110
- 64
Habari za SAA hizi wanajamii forum ....nmekuja na hii mada lengo n ushaur coz nmekodi fremu kwa bei kidogo lengo n kufungua huduma y pesa kam airtelmoney, tigopesa, m pesa......msaad je niongezee na nini kingine kusud niweze kuongeza ka biashara kusud nisitegemee pesa y mitandao pekee ilikukuza mtaji wangu......ahsanteni