Msada: Usajili wa gari

kingzeddy

Senior Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
185
Reaction score
201
Ndugu zangu hivi inawezekana kusajili upya gari? Mfano kutoka Namba A to E?
 
Nadhani labda ununue gari nyingine (salvage) ambayo make na model ni kama yako na ilikuwa namba E then ndo uje uvishe hiyo # kwenye gari yako.
 
Chuma imesimama ila namba sasa[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Haiwezekani.
Kuna mwamba alikuwa na Altezza namba D ikapata ajali Chunya huko ikawa written off. Akaja mjini huku akachukua Tezza nyingine ila namba C. Sasa hiyo namba C imevishwa number plates za ile iliyokuwa written off. Kuwezekana inawezekana bila usumbufu ila it's not legal.
 
Reactions: PYD
Nyie si ndio mnasemaga gari sio namba bali engene iwe imesimama na vikolokolo gani sijui. Haya vimba na namba A sasa [emoji3][emoji3][emoji3]!!!
 
Ipeleke Zanzibar itasajiliwa namba mpya kule kisha irudishe bara utapata namba mpya kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…