nimeenda mkuu ila wanasema ni tatzo la mmengenyo wa chakula dawa nimepewa lakin hakuna ka una exprienc niambie dawaUlikwenda hospital ya serikali au binafsi. Kama ulitumia hospital binafsi nenda ya serikali Ongea na mganga vizuri atakusaidia
Hospital za binafsi wanaangalia pesa tu ukienda wanakupa madawa mengi ili wauze tu.