Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Wewe usituletee siasa hapa. Msimu wa siasa bado haujafika. Umesikia wewe kijana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe usituletee siasa hapa. Msimu wa siasa bado haujafika. Umesikia wewe kijana?
Hahahaha, Kenya msimu wa siasa huanza mara tu ya kuapishwa rais aliyechaguliwa, poleni Sana,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe usituletee siasa hapa. Msimu wa siasa bado haujafika. Umesikia wewe kijana?
Hahaha. Huwa inasemwa kuwa siasa ndio national sport in Kenya. Inapendwa kushinda kutazama riadha au soka.Hahahaha, Kenya msimu wa siasa huanza mara tu ya kuapishwa rais aliyechaguliwa, poleni Sana,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli ukabila na demokrasia haviwezi kuwa pamoja, ninauhakika Kama sio ukabila, Matiang'i angekua rais wa Kenya, lakini kwasababu anatoka kabila dogo, hata kwenye debe hayupo,Wewe usituletee siasa hapa. Msimu wa siasa bado haujafika. Umesikia wewe kijana?
Wewe usituletee siasa hapa. Msimu wa siasa bado haujafika. Umesikia wewe kijana?
Wewe taja mtu yeyote unayetaka kumtaja mimi sina shida. Kenya itazidi kusonga mbele licha ya nyinyi WaTZ wenye roho mbaya mnaotakia Kenya mabaya.Kisa nimemtaja Ruto, ndiyo imekuwa nongwa. Ningetaja jubilee ungeanza kudemka.
😛😛😛
Na mmeambiwa vile viuno vina wenyewe.
Wewe taja mtu yeyote unayetaka kumtaja mimi sina shida. Kenya itazidi kusonga mbele licha ya nyinyi WaTZ wenye roho mbaya mnaotakia Kenya mabaya.