Msafara Wa Mshana Jr wapata ajali

Chonde chonde , ninaomba no ya aliyesababisha hiyo ajali , hapo ni kutunguliwa kwani hawaishiwi mafuta ni wajanja sana ila wamezidiwa ujanja .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa nafikiri watakuwa wafuasi wake tu, maana simuoni kamanda wetu Mshana Jr hapa au labda awe kajigeuza kuwa demu baada ya kuanguka.
 
Majeruhi wamelazwa St Mungo’s Wizard and Witchcraft Hospital
Ha ha ha!
Cc Mkufunzi MKUU wa taasisi ya masomo ya Giza na nuru Kaka Mshana Jr.Pole yake namuona siti ya mbele kabisa kaweka miguu kwenye ungo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…