Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Huu ndio ujinga tuliowazoea nao.nikadhani mmerudi sasa mtakuwa mmekuja kivingine.
 
Acheni ujinga yani rais wa nchi kashaingia na anahutubia eti nyie nanyi mna kamsafara kenu mnataka kuingia!
 
Unamaanisha sasa hivi milango imefungwa na wote waliotanguliwa na Rais kuingia hawana budi kukaa nje?
 
Kiukweli Chadema imejawa na mizaa sana ,naweza sema hawajitambui na master mind wao wanawapoteza sana,kila wanachotaka kufanya ni kutafuta kiki tu na si vingine na ni watu hatari sana waliokosa ustarabu hata chembe .

Walivyowajinga walitanguliza vijana wao ndani ya uwanja ili msafara wao ukiingia washangiliwe kwa nguvu sana ,hii ni akili au matope ?,kweli msiba wa taifa wanafanya mzaha ,Baada ya kuona tukio lao la jana limebuma wakaona wajaribu uwanjani leo.

Ngoja tumalize msiba wa mzee mkapa ndio watajua kuna serikali ,wasipojirekebisha wakua kila siku wanahudhuria magereza na mahakamani na tuone wanaowatumia watafanyaje .hii ni nchi huru kabisa.
Na ni kwanini Chadomo tu na si vyama vingine?
 
Pia itifaki inasema RAIS akiwepo kwenye shughuli yeye ndo huwa wa mwisho kuzungumza bt Leo kazungumza RAIS afu kabudi akashika tena kisemeo AU PROTOKALI NI KWENYE KUINGIA TU?
 
Hivi Bawacha hamjui kuwa kwenye sherehe zote za kitaifa mtu wa mwisho kuingia ni Rais? Hivi ninyi chadema mbona wajinga sana?
Ni kweli ujio Lissu ambaye yu hai, kungevuruga sana hali ya hewa. Kuna watu wangeweza kushindwa kujizuia kumshangilia na hata kupiga vigelegele, na kumsahau kidogo mwenye SHUGULI, Mfuga tausi wa Chamwino.
 
Kwahiyo amezuiwa sababu hii,au utaratibu alitakiwa kuwahi kabla!!!![emoji16][emoji16][emoji16].

Nyinyi watu mna tabu sana.
Naona umekwisha nipa kambi. Mimi nimeelezea kwa nini ni vigumu TL kuruhusiwa aingie ndani (hizo ni hisia zangu). Ni dhahiri kama CDM hawakufuata protokali basi imekuwa rahisi kwa usalama kuwazuia. Bahati mbaya hakuna alie eleza kama CDM walikwenda na protokali au kulitokea nini hadi wachelewe kama wamechelewa.
 

Wewe ndio muhuni.
Kuna watu kibao wamekuja baada ya jpm kuingia na wameingia uwanjani..
Hasira za jana hizo hahahahahahahaah..

Mbona mambo bado sana..
Mtakoma.
 
Wamezuiwa sababu ya kuchelewa kuingia kabla ya wakati.na si vinginevyo.
 
Mawazo mfu huendeshwa na hisia potofu!
 
Sio ishu Sana viongozi wa CHADEMA Kama wamewwazuia rudini tu mkajipange na mambo mengine ya kimkakati kumtoa huyu mkoloni mweusi.

Lazima mambo mengine yaendelee hayo Mambo ya protokali waachieni wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…