Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,017
- 1,733
Walikwenda kuhutubia ili wajitangaze,si palikuwa na mkutano pale wa kampeniJe, walienda kwa dhania ya Kumuaga Rais Mstaafu Hayati Mzee Mkapa au walienda ili Kujitangaza zaidi Kisiasa na Kumuonyesha Mgeni Mwenyeji?
Kiki gan?..kwamba si kweli TUNDU LISSU ALIRUDI JANA KUTOKA BELGIUM au?Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa . Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Msafara! Wapi ulishaona hili?Kwahiyo hakuna MTU yeyote aliyeingia baada ya Rais kuingia hapo uwanjani?
Itoshe kusema tu mwenyekiti wa CCM na watu wake ni waoga tu.
#2020
#RIPMzeeMkapa
Huu ndio ujinga tuliowazoea nao.nikadhani mmerudi sasa mtakuwa mmekuja kivingine.Mmesha wazuia kumuaga Rais wenu wa CCM sasa maneno mengi ya nini tena? Mmetaifisha Mali nyingi za taifa hili na kuzifanya za ccm, sasa mnabinafsisha hata msiba wa taifa kuwa wa ccm?
Hakika ukizoea kuwa mwizi utaiba hata maiti, CCM kweli ni wezi wabobezi
Acheni ujinga yani rais wa nchi kashaingia na anahutubia eti nyie nanyi mna kamsafara kenu mnataka kuingia!Mmesha wazuia kumuaga Rais wenu wa CCM sasa maneno mengi ya nini tena? Mmetaifisha Mali nyingi za taifa hili na kuzifanya za ccm, sasa mnabinafsisha hata msiba wa taifa kuwa wa ccm?
Hakika ukizoea kuwa mwizi utaiba hata maiti, CCM kweli ni wezi wabobezi
Unamaanisha sasa hivi milango imefungwa na wote waliotanguliwa na Rais kuingia hawana budi kukaa nje?Nafikiri kwenye hili tuache ushabiki Viongozi wa Chadema wamechelewa kufika uwanjani na walipaswa kukaa presidential Area wangekaaje na je uwanjani wangeingia vp wakati Rais kaishaingia?
Wakubwa sehemu yeyote ambayo kama kuna event mtu wa mwisho kuingia ni Rais ukichelewa kaa mbali tu!
Sio misiba yetu ya uswahilini ile.Kwani kwenda msibani unapangiwa muda ? Haya mambo ni ya ajabu
Yani wewe bado una chuki za dr mihogo? Wtf? Move on wacha gubu! We si “me”?Naona kiki ya Jana imewalevya Sasa wameshaoya mapembe.
Kwenda msibani ni utotoChadema wakati mwingine wanafanya mambo kitoto sana
Ni kweli ujio Lissu ambaye yu hai, kungevuruga sana hali ya hewa. Kuna watu wangeweza kushindwa kujizuia kumshangilia na hata kupiga vigelegele, na kumsahau kidogo mwenye SHUGULI, Mfuga tausi wa Chamwino.Hivi Bawacha hamjui kuwa kwenye sherehe zote za kitaifa mtu wa mwisho kuingia ni Rais? Hivi ninyi chadema mbona wajinga sana?
Naona umekwisha nipa kambi. Mimi nimeelezea kwa nini ni vigumu TL kuruhusiwa aingie ndani (hizo ni hisia zangu). Ni dhahiri kama CDM hawakufuata protokali basi imekuwa rahisi kwa usalama kuwazuia. Bahati mbaya hakuna alie eleza kama CDM walikwenda na protokali au kulitokea nini hadi wachelewe kama wamechelewa.Kwahiyo amezuiwa sababu hii,au utaratibu alitakiwa kuwahi kabla!!!![emoji16][emoji16][emoji16].
Nyinyi watu mna tabu sana.
Kundi Kubwa la Wahuni limejikuta katika wakati mgumu mara baada ya Kuzuiliwa kuingia katika Uwanjwa wa Uhuru Kumuaga Rais Mkapa.
Nilishatoa Uzi kuwa Tanzania si sehemu ya Kufanya Vitendo vya Kihuni ikiwemo kusubiri Rais Magufuli aingie halafu na wewe ndo Uingie Kutafuta Attention na Kuharibu msiba wa Taifa.
Navipongeza Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa Kudhibiti wahuni.
Ile ni issue ya Kitaifa mzee si Msiba wa Babu yako au Muhuni mwenzio si Umeona Protoco zinafuatwa pale uwanjani?Kwani kwenda msibani unapangiwa muda ? Haya mambo ni ya ajabu
Wamezuiwa sababu ya kuchelewa kuingia kabla ya wakati.na si vinginevyo.Naona umekwisha nipa kambi. Mimi nimeelezea kwa nini ni vigumu TL kuruhusiwa aingie ndani (hizo ni hisia zangu). Ni dhahiri kama CDM hawakufuata protokali basi imekuwa rahisi kwa usalama kuwazuia. Bahati mbaya hakuna alie eleza kama CDM walikwenda na protokali au kulitokea nini hadi wachelewe kama wamechelewa.
Hivi Bawacha hamjui kuwa kwenye sherehe zote za kitaifa mtu wa mwisho kuingia ni Rais? Hivi ninyi chadema mbona hivyo?
Mawazo mfu huendeshwa na hisia potofu!Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.