Kiukweli Chadema imejawa na mizaa sana ,naweza sema hawajitambui na master mind wao wanawapoteza sana,kila wanachotaka kufanya ni kutafuta kiki tu na si vingine na ni watu hatari sana waliokosa ustarabu hata chembe .
Walivyowajinga walitanguliza vijana wao ndani ya uwanja ili msafara wao ukiingia washangiliwe kwa nguvu sana ,hii ni akili au matope ?,kweli msiba wa taifa wanafanya mzaha ,Baada ya kuona tukio lao la jana limebuma wakaona wajaribu uwanjani leo.
Ngoja tumalize msiba wa mzee mkapa ndio watajua kuna serikali ,wasipojirekebisha wakua kila siku wanahudhuria magereza na mahakamani na tuone wanaowatumia watafanyaje .hii ni nchi huru kabisa.
Na ni kwanini Chadomo tu na si vyama vingine?