Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Unapata faida gani kusema uongo msafara wa cdm umefika saa tatu kamili Raisi kaingia saa 3:30 Ina maana raisi aliingia then akatoka Tena auKwa jinsi walivyojikusanya na kwenda Uwanja wa Taifa, ni wazi kabisa walitaka kick ya kisiasa, sasa hao walikuwa hawana nia ya kuhani msiba bali kujitangaza kisiasa na wangevuruga sana..
Msiba mkubwa wa Taifa na Kimataifa kama huu wa Mh. Mkapa, alafu unakuja na sura au mlengo wa kisiasa ili ujipatie kick au publicity ni mbaya sana, watu wako katika majonzi ww uje na magwanda yako ya CDM unatafuta nn? 🤔😠 Alafu wanakuja Mh. Rais tayari yuko ndani ya Uwanja wa Taifa, hata hawajui itifaki, hii ni kosa.
Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa. Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
ELIMU, ELIMU, ELIMU ndiyo msingi wa mambo yote. Tangu niwe na ufahamu wangu sijawahi kuona kiongozi Mkuu wa Nchi amefika na kuanza kuhutubia alafu wewe lofa uje udraw attention ya wasikilizaji. Huo ni ushamba wa kilofa. Professor wangu pale SUA, ukikuta ameshaingia lecture room, wewe call it a day, hakuruhusu uingia abadan. Na hii ikatupa nidhamu ya kuheshimu muda na wakubwa. Sasa wewe lofa, Mkuu wa nchi ashaingia ukumbini na anahutubia alafu eti na wewe unakuja nyuma yake wewe nani bhana. Mjitafakali kwa upuuzi wenu huo CHAGADOMO.Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
Huo msafara unaolallamikiwa kuzuiliwa ulikuwa wa nani?Ni mpinzani gani anashoboka na huo msiba kwa mfano?
Chadema ni kama wazazi wawe na watoto wafuatao; Kaka Mkubwa dudubaya the mambaz, wanafuatia mapacha TID kigogo na Q Chillah, Mdogo wao Baba levo halafu kitinda mimba Gigy Money. Mtoto wa nje ya ndoa ni Amberuty. Hapo wazazi lazima mdateChadema ni kama mtoto mtukutu ndani ya familia
Sherehe ni ya watz wote msiba ni wa ccm
[/QUOTESawa
Cjui km unaelewa maana ya neno "sympathy" kenge ww.........Chadema hawakuwa na nia ya kwenda kuaga walienda kwenye show off na kutafuta sympathy kwamba huyu ndio TL amerudi sasa just for political gains
Kumbe wa CCM nilijua wa baba yakoWaingie wakafanye nini? Kwani msiba una wahusu? msiba ni wakwetu sisi wana ccm
Tuwe wakweli, mnataka kufanya siasa hata kwenda kuanga mwili wa marehemu, Lissu aliagiza wanachama wamsindikize, hii ni kutaka kuingia uwanjani kwa mbwembwe. Hilo ni kosa na kila aina, kisiasa ,kidini, kimila, kibinadamu.Huo ni msiba na hauna/hautakiwi kuwa na mashariti ya aina hiyo.
Jibu lako linajitosheleza maana hata wengine watakosa cha kuongezea hapo...Waingie wakafanye nini? Kwani msiba una wahusu? msiba ni wakwetu sisi wana ccm
Easy mkuu. Kama sio sympathy kwanini haikuacha TL arudi bila kupigia kelele jamii kwamba ndio anarudi. kwanza suala la kubaki hai au kufa ni la kwake na mungu...kwanini msingefanya kimyakimya suala la kubaki na uhai wakeCjui km unaelewa maana ya neno "sympathy" kenge ww.........
CHADEMA ni chama Cha watz....sio chama cha walafi km ccm
Lisu ana siku 1 toka afike hapo chadema tayari mambo vururu vururru!Sawa hata wakenya mmewazuia wasitue kuungana nanyi kwenye msiba hawa nao hawakufata protokali.......
Ni ujingaujinga tu wa maccm
Mwanahabari Huru namwomba Makene atoe ufafanuzi kuhusu aya ya 5 ya barua yake; hayo magari mengine yalikuwa yakiingia ndani au yalikuwa yanashusha watu waingine kwa foleni?Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
=====
UPDATES:
======
View attachment 1519582View attachment 1519583
Duh, CCM waoga kweli. Wameogopa TL angeingia pale uwanja wote ungesisimka!Naomba niione hiyo barua kabla ya kutoa maoni yangu.