Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Kwa jinsi walivyojikusanya na kwenda Uwanja wa Taifa, ni wazi kabisa walitaka kick ya kisiasa, sasa hao walikuwa hawana nia ya kuhani msiba bali kujitangaza kisiasa na wangevuruga sana..
Msiba mkubwa wa Taifa na Kimataifa kama huu wa Mh. Mkapa, alafu unakuja na sura au mlengo wa kisiasa ili ujipatie kick au publicity ni mbaya sana, watu wako katika majonzi ww uje na magwanda yako ya CDM unatafuta nn? 🤔😠 Alafu wanakuja Mh. Rais tayari yuko ndani ya Uwanja wa Taifa, hata hawajui itifaki, hii ni kosa.
Unapata faida gani kusema uongo msafara wa cdm umefika saa tatu kamili Raisi kaingia saa 3:30 Ina maana raisi aliingia then akatoka Tena au
 
Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!

Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.

Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.

Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.

Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.

Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
ELIMU, ELIMU, ELIMU ndiyo msingi wa mambo yote. Tangu niwe na ufahamu wangu sijawahi kuona kiongozi Mkuu wa Nchi amefika na kuanza kuhutubia alafu wewe lofa uje udraw attention ya wasikilizaji. Huo ni ushamba wa kilofa. Professor wangu pale SUA, ukikuta ameshaingia lecture room, wewe call it a day, hakuruhusu uingia abadan. Na hii ikatupa nidhamu ya kuheshimu muda na wakubwa. Sasa wewe lofa, Mkuu wa nchi ashaingia ukumbini na anahutubia alafu eti na wewe unakuja nyuma yake wewe nani bhana. Mjitafakali kwa upuuzi wenu huo CHAGADOMO.
 
Chadema wameitaka serikali itoe Maelezo kwanini viongozi wakuu wa chama hicho walizuiwa kuingia uwanja wa Uhuru kumuaga hayati Mkapa.

Barua iliyosainiwa na mkuu wa mawasiliano wa Chadema mh Makene imedai viongozi wengine wakiwemo wa dini waliruhusiwa kuingia lakini wao waliambiwa wakapange foleni kitu ambacho ni kinyume cha sheria.

Barua hiyo inadai Maelezo kamilifu toka serikalini.

Maendeleo hayana vyama!
 
Waingie wakafanye nini? Kwani msiba una wahusu? msiba ni wakwetu sisi wana ccm
 
Huo ni msiba na hauna/hautakiwi kuwa na mashariti ya aina hiyo.
Tuwe wakweli, mnataka kufanya siasa hata kwenda kuanga mwili wa marehemu, Lissu aliagiza wanachama wamsindikize, hii ni kutaka kuingia uwanjani kwa mbwembwe. Hilo ni kosa na kila aina, kisiasa ,kidini, kimila, kibinadamu.
 
Cjui km unaelewa maana ya neno "sympathy" kenge ww.........

CHADEMA ni chama Cha watz....sio chama cha walafi km ccm
Easy mkuu. Kama sio sympathy kwanini haikuacha TL arudi bila kupigia kelele jamii kwamba ndio anarudi. kwanza suala la kubaki hai au kufa ni la kwake na mungu...kwanini msingefanya kimyakimya suala la kubaki na uhai wake
 
Sawa hata wakenya mmewazuia wasitue kuungana nanyi kwenye msiba hawa nao hawakufata protokali.......

Ni ujingaujinga tu wa maccm
Lisu ana siku 1 toka afike hapo chadema tayari mambo vururu vururru!

Hivi chadema hakuna mwenye akili hata mmoja aliyeweza kuwashauri kwamba wanachemka?

Prof. Baregu si mnae huko au hamtaki kumtumia awashauri mambo ya protocol.?
 
Hawakwenda kwa dhati,walikwenda kuchafua hewa kisiasa.
 
Naomba niione hiyo barua kabla ya kutoa maoni yangu.
 
Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.

Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.


Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.

=====

UPDATES:

======

View attachment 1519582View attachment 1519583
Mwanahabari Huru namwomba Makene atoe ufafanuzi kuhusu aya ya 5 ya barua yake; hayo magari mengine yalikuwa yakiingia ndani au yalikuwa yanashusha watu waingine kwa foleni?
 
Back
Top Bottom