Sisi waafrika ni weusi na akili zetu ni nyeusi piaMsafara unasemekana ni mkubwa kuliko ukiwa na maafisa 67 na wachezaji 7 tu! Msafara wenyewe unaongozwa na makamu wa Rais pamoja mke wake! Waafrika weusi akili zetu tunazijua wenyewe.
View attachment 3050998
Ni wizi si ujinga!!!!Kinachosumbua Afrika ni ujinga...
Nahitaji kadi mkononi nisafiri πΉ
Gen Z wazaliwe wengi zaidiKinachosumbua Afrika ni ujinga...
Wasindikizaji 60 ππππ
Ni wizi si ujinga!!!!