Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hii type of mindset ndio inafanya hatusogei kokote, mwafrika baada ya kupata uhuru wa nchi, hajawhai kupata uhuru wa nchiMsafara unasemekana ni mkubwa kuliko ukiwa na maafisa 67 na wachezaji 7 tu! Msafara wenyewe unaongozwa na makamu wa Rais pamoja mke wake! Waafrika weusi akili zetu tunazijua wenyewe.
View attachment 3050998
CCM ndo tatizoIla Africa kuna shida kubwa sana. Tumelaaniwa
Kama wanyama vileeee!!!Ila Africa kuna shida kubwa sana. Tumelaaniwa
Wazungu wakitusema tunalalamika tunabaguliwa, Kwa akili hizi lazima wazungu watuite nyaniMsafara unasemekana ni mkubwa kuliko ukiwa na maafisa 67 na wachezaji 7 tu! Msafara wenyewe unaongozwa na makamu wa Rais pamoja mke wake! Waafrika weusi akili zetu tunazijua wenyewe.
View attachment 3050998
Kwani mkuu weusi ni ishara ya ubaya?Sisi waafrika ni weusi na akili zetu ni nyeusi pia
Akili zetu hazina tofauti na Kima kabisa..Tutengwe tu Na jumuiya ya kimataifa turudi kwenye ujima, huenda tukajitafuta Na kujipata kivingine
tuwe ile mifano mibaya kwa watoto wa wazungu.Hapo utasikia wanajiita wazalendo! Waafrika bure kabisa wakati mwingine mtu unajiuliza sijui Mungu alikusudia nini wakati akituumba.
Bora wao, Tanzania inapeleka wangapi huko?Msafara unasemekana ni mkubwa kuliko ukiwa na maafisa 67 na wachezaji 7 tu! Msafara wenyewe unaongozwa na makamu wa Rais pamoja mke wake! Waafrika weusi akili zetu tunazijua wenyewe.
View attachment 3050998
Sio tu ishara ya ubaya bali ni ishara ya ushetani mkuuKwani mkuu weusi ni ishara ya ubaya?