Msahada wa mawazo

Msahada wa mawazo

MISAPE

Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
68
Reaction score
34
Habar wana jf
nina mdogo wangu anasoma chuo 1 hapa dsm na sasa yupo mwaka wa pili mwezi wa 10 anaingia mwaka wa 3 yaan wa mwisho tatizo linakuja amepata kazi nzuri tu ya kudumu mkoa tanga kwa kutumia chet chake cha diploma alichokuwa nacho je inawezeka kwa matokeo yake ya miaka 2 akamalizia open university au chuo chochote kwa distance learning akiwa uko uko tanga maana inatuchanganya atamalizaje elimu yake na kazi anaipenda
msaada mwenye kujua lolote kuhusu ili,mawazo,ushauri
wote mnakaribishwa asanteni
 
sina mawazo wala ushauri ila ningependa kujua msahada ndo nini....???
 
Msahada?? Ni msaada ndugu.Kifupi mshauri ndugu yako amalizie chuo tu kwani muda uliobaki ni mfupi
 
aombe airishe mwaka wa masomo alafu mwakani akishamzoea bosi wake amweleze kinagaubaga bila kumficha na amuombe ruhusa bla shaka atamuelewa vzr ili akamalizie mwaka. hyo itakuwa 2014/15
 
sina mawazo wala ushauri ila ningependa kujua msahada ndo nini....???

Wewe kama hauna mchango ni bora utulie sio kusumbua watu wakati kitu kimeeleweka
acha kujitia maujuzi kumbe ndo walewale,sasa na wewe hiyo nyekundu hapo ni nini??
 
aombe airishe mwaka wa masomo alafu mwakani akishamzoea bosi wake amweleze kinagaubaga bila kumficha na amuombe ruhusa bla shaka atamuelewa vzr ili akamalizie mwaka. hyo itakuwa 2014/15
 
aombe airishe mwaka wa masomo alafu mwakani akishamzoea bosi wake amweleze kinagaubaga bila kumficha na amuombe ruhusa bla shaka atamuelewa vzr ili akamalizie mwaka. hyo itakuwa 2014/15

unatisha good idea thanks
 
Back
Top Bottom