Msaidieni mama huyu anateseka, sana

Msaidieni mama huyu anateseka, sana

Angel Msoffe

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2011
Posts
6,781
Reaction score
1,647
Habarini wapendwa,kuna mama jirani yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa ajabu,Kuna mda KIFUA KINAPATA MOTO SANA AKIWEKA KITAMBAA CHENYE MAJI BARIDI NACHO KINAPATA MOTO,amejitahd kwenda hospitali mbalimbali kama Kibong'oto(maalumu kwa matatizo ya kifua)na Kcmc lakini hajaonekana na ugonjwa wowote,pia anakohoa sana,Naombeni mwenye kuujua ugonjwa huu,chanzo chake na tiba yake amsaidie huyu mama na MUNGU atambariki.Natanguliza shukrani
 
Mwenyezi Mungu wewe uwezaye yote,mtazame kiumbe wako na kwa rehema zako umponye kwa njia ya Yesu kristu,amen
 
Back
Top Bottom