VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Wasalam!
Ndugu yangu anahisi maumivu sehemu za pembeni ya tumbo;pande zote mbili.Kuna wakati alipima UTI na kuitibu.Lakini maumivu yanaendelea.Kwenye upande mmoja kuna kijimstari kimejichora.
Tafadhalini saidieni kwa ushauri na matibabu.
cc MziziMkavu
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Ndugu yangu anahisi maumivu sehemu za pembeni ya tumbo;pande zote mbili.Kuna wakati alipima UTI na kuitibu.Lakini maumivu yanaendelea.Kwenye upande mmoja kuna kijimstari kimejichora.
Tafadhalini saidieni kwa ushauri na matibabu.
cc MziziMkavu
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Last edited by a moderator: