Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Hili mngepepeka kwenye jukwaa la hoja mchnganyiko. Visa vya kunyang'anyana wanawake sio siasa.
 
ni kwamba hao wanaokuja na silaha inawezekana ndio wale waliomvmia yule tajiri wa zakaria alipowazidi nguvu kwa kuwachapa risasi ndio wakajisalimisha kuwa ni maafisa ila wakikuzidi nguvu wanaitwa wasiojulikana
Hiyo ipo wazi mkuu
 
Wameanza kukulana
Sheria ya mambo ya laana ndivyo ilivyo....unaweza kulala na watoto wa wenzako weee ukajiona mshindi ila mwishoni utaona kwa nini usijaribu na wa kwako uonje utamu wake...hiyo ndiyo laana
..kitu laana huwa kinatambaa...!! Ni kitu hatari mno.

Mwalimu alituwosia kwamba ukianza kula nyama ya mwanadamu wenzako huwezi acha....
 
Very true indeed!
 
Uache tabia za KIZUSHI!!


Allan ana akili Za Kitoto Sana, Allan Nimepishana Nae Hapa Segerea Na Kagari Kake Halafu Anasema Ametekwa?
 
Hatareeeeeh sana lol, siasa ni mchezo mchafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…