ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Anzia kilanje lanje,mchinga kwa mama salma kikwete njoo na mitwelu shuka shimoni Paris a.k.a Lindi twende mpk mnazimmoja pacha tuamue Kama tukatafute mmakonde wa mtwara au twende kwanza masasi pc Kali zote ukishindwa tunasogea pande za tunduru kwa wayao...hukosi mke wa maana kote huko...Kuna mabaki ya kiarabu Kama yotehuogopi kutangulia wewe,ujana sio mzuri ukiufatsha
hivi kusini hasa n mkoa upi uliopo ili nianzie huko huko ulipo muda ukifika
Labda siku nimenasa kbs Basi mbadala wake NI smart gin au hensen choice..ila Kama hela Zipo asee mpe darmian mafungu mawili kwanza atoe tu mwani Kisha ndo tujue tunaanzia wap[emoji23][emoji23]...Zed tumeacha sio?..daah kweli pesa tamu.
Nitakuja we niandalie tu mtoto mmoja wa kimakonde..
Kweli Tanzania ina maeneo ya kufanya utaliii mengi kumbe,Acha muda ufike nione,kweli nmeamini usioe mapema kabla hujaizunguka hii nchi ukaimaliza ili unapoamua kuchukua maamuzi ya kujitia kitanzi cha ndoa akili iwe imejiandaa kisaikolojia.Anzia kilanje lanje,mchinga kwa mama salma kikwete njoo na mitwelu shuka shimoni Paris a.k.a Lindi twende mpk mnazimmoja pacha tuamue Kama tukatafute mmakonde wa mtwara au twende kwanza masasi pc Kali zote ukishindwa tunasogea pande za tunduru kwa wayao...hukosi mke wa maana kote huko...Kuna mabaki ya kiarabu Kama yote
Sijakusoma hapo kwenyd kutoa mwani mzee..Labda siku nimenasa kbs Basi mbadala wake NI smart gin au hensen choice..ila Kama hela Zipo asee mpe darmian mafungu mawili kwanza atoe tu mwani Kisha ndo tujue tunaanzia wap
Kutoa mwani=kutoa arosto yaani NI Kama kutoa lock unakata kiu bia zako kadhaa then tunachukua nyama yetu kilo mbili tukimaliza ndo tunaamua Sasa tukamalizie wapi ila sikufichi mtwara hamna ishu twendezetu masasi pa ukweli utapakubaliSijakusoma hapo kwenyd kutoa mwani mzee..
Masasi ndo panapohappen kumbe..tutasogea hapo.Kutoa mwani=kutoa arosto yaani NI Kama kutoa lock unakata kiu bia zako kadhaa then tunachukua nyama yetu kilo mbili tukimaliza ndo tunaamua Sasa tukamalizie wapi ila sikufichi mtwara hamna ishu twendezetu masasi pa ukweli utapakubali
Bro wadada wa kusini serious kabisa??Njoo kusini wewe acha ushamba upate pc wa mapenzi mengi.hakunaga ukorofi njoo shamba tukupe mtoto aliyetulia af uone Kama hutoboi life.100%
Daaah... ungekua Kinondoni huku ningekuunganisha na mdada wangu. Yupo poa sana Mama JakiMimi ni kijananinaeishi peke yangu, Chumba ki 1 kisicho na makorokoro mengi ndani,ni Mfanyabiashara au mjasiriamali ninaetoka nyumbani asubuhi sana na kurudi usiku sana.
Kutokana na ratiba yangu kuwa ngumu nimejikuta sipiki nyumbani maana muda nakosa, kufua nakosa muda yani muda ninaopata kufanya kitu changu ni muda wa kwenda kuoga tu ila sina muda wa kufanya kazi nyingine yyte ile.
Nyumba yangu imekua kama stooo,nimechoka kula mitaani,nimechoka kula chipsi (kijana wa kiume) Afya yangu naiona n afya ya fast foods tu,yani kama ni kuku najifananisha na Broiler.
Natafuta msaidizi atakae weza nisaidia kazi Tajwa hapo Juu lakni awe ni wa kike Umri wowote ule,awe binti,awe mama awe Bibi sina tatizo na umri wake awe tu ananifanyia hizo kazi kwa uzuri.
KUPIKA
Atakua anakuja kwangu asubuhi ananipkia chakula cha Usiku (mchana sitokuwepo) chakula kulingana na siku husika nitamuomba anipkie nini,atanipkia kisha atanihifadhia kwenye mahotpots na vyakuhifadhi kwenye friji ataniwekea,nikirudi usiku kazi yangu kupasha na kula.
Mchana atajipikia mwenyewe chakula anachotaka kulingana na kwenye Friji kuna nini,ale ashibe kisha aendeleee na mambo yake mengine sio anipkie mimi huku yeye anakaa na njaa HAPANA,nahtaji msaidizi tutae ishi kama ndugu.
Vyombo nitakavyolia atavikuta asubuhi ila kama nitakua na nguvu vyombo nitakavyolia ntakua nasuuza mwenyewe na kuviweka kabatni.
KUFUA
Nguo ni changamoo sana kwangu eneo hili ndio limenifanya nitafute mtu hasa maalum maana nimeshafuliwa nguo na watoa huduma za ufuaji hawa unaowanunulia sabuni ila ufuaji wao HAPANA KWAKWELI,nahitaji mtu ataefua nguo zangu kwa ubora na kuzifanya zing'ae wakati wote na kunipangia kabatini.
Mimi kazi yangu iwe kuzpga pasi na kuvaa Tu.
USAFI
Usafi ni wakutandika kitanda incase siku nimekurupuka nikajisahau kutandika,kudeki nyumba kufuta vumbi kwa ufupi kufanya nyumba ionekane kweli ina mtu anae deal na usafi, Makochi kuyasafisha Carpet kuliosha wakati wote liwe safi, mengine nadhani mtu mzma anaelewa nini maana ya usafi.
MAHALI PAKUISHI
Nahitaji mtu anaeishi kwake,mwenye makazi maalum hizi kazi zote ni za kuja kufanya na ukimaliza unaondoka kwako/kwenu sihitaji mtu asie na makazi maana sina mahali pakulaza mtu naishi peke yangu na sihitaji mgeni nahitaji tu Msaidizi wa kunisaida kazi tajwa hapo Juu.
MSHAHARA
Mshahara wa huyu msaidizi nitamlipa kwa mwezi na si kwa SIKU,ambao kwa mwezi nitamlipa 210,000 kama jumla ya mshahara wake wa mwezi, hii 210k nimeigawanya kwa mafungu mawili.
Nauli : 60,000Tsh
Pocket Money : 150,000Tsh
Mwisho wa mwezi nitakua nampa 150,000 lakini kutokana na kila siku atakua anakuja na kurudi kwao/kwake nitakua namuachia mezani 2000Tsh hii buku mbili n kwa ajili ya nauli yake ya kwenda na kurudi huko anapoishi,kwa hyo kila siku nitakua nampa nauli TU. Kisha itapofika mwisho wa mwezi nitakua nampa 150,000 ambayo ndio Mshahara wake kwahyo jumla kuuu iafanya mshahara wake uwe 210,000/
Nauli kila siku nimeona nifanye hivyo ila uamuzi ni wa msaidizi akiamua nauli ajitafutie mwisho wa mwezi nimpe 210k yote ni sawa,akiona kila siku nimpe nauli yake kila siku pia sawa.
SWALI
Je utapata wapi ufunguo wakati naondoka mapema kwa maana nyingine mimi na wewe kuonana itakua mara chache sana je Funguo ya nyumba utaipata wapi? Yawezekana kuna mtu kajiuliza swali la namna hiyo.
JIBU
Kama nilivyosema awali mimi ni mpangaji sijajenga kwahyo hapo nilipopanga siishi peke yangu,kuna wapangaji wengine wenye wake zao wanashinda majumbani 24hrs, kwahyo Hao wapangaji ndio Nitakao waachia Funguo kwahyo ukija nitakuelekeza tu ufunguo uwe unaufata kwa nani na ukiondoka umuachie nani,maana utapochukua funguo n kwa mtu mwingine na utakapoacha wakati ukiondoka n kwengine kutokana na ratba yangu ya kurudi kuwa mbaya n lazima funguo utauacha mahali ambapo huyo mtu najua mida ninayorudi anakua macho kuepuka kusumbua watu wengine.
Naishi MBEZI MWISHO wengine hupaita MBEZI YA KIMARA. Kwa mawasiliano karibu PM.
ASANTENI na MUBARIKIWE, waG fyaaa (wajifyaaaa)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]vyumba viwili nikiwa sina vitu vya kuweka kwenye chumba chapili nahisi itakua ni kupoteza pesa mkuu,gharama ya kuongeza chumba cha pili kwanini nisiongeze kidogo ikamlipa msaidizi?
Mkuu Chumba kimoja kikiwa katika hali ya usafi wakati wote ni kizuri sana,kinapendeza na kuvutia,shida ya chumba kimoja n kukosa mtu wa kukihudumia matokeo yake kinageuka stooo.
Matumizi makubwa ya chumba kwangu n kulala TU sijawahi shnda nyumbani tangu nianze kupanga,Unaweza pata picha namna naishi mkuu.
Kilichopelekea kutafuta msaidizi ni sasa hivi nimeanza kupishana na MENDE ndani you can imagine mende anatoka wapi gheto, i hate this.
Natamani sana kuhama huku nnje ya mji nikae sehemu kama huko sema kukaa huko kati kati ya mji kwa kutegemea daladala,nitaumbuka asee.Daaah... ungekua Kinondoni huku ningekuunganisha na mdada wangu. Yupo poa sana Mama Jaki
Wengine hatupendi kupoteza muda barabarani... Ninapoishi job ni 15 minutesNatamani sana kuhama huku nnje ya mji nikae sehemu kama huko sema kukaa huko kati kati ya mji kwa kutegemea daladala,nitaumbuka asee.
Ngoja nijibane bane Mungu anione nikianza tembea nimekaa lazima nije huko Town.
poleKigezo no.1 uwe na makazi yake sijali anaishi kwake au kwao muhimu asiwe tu Muwindaji
Mkuu MKE mimi hapana,unahisi kwa maelezo hayo nakosa vile vdada vya hit n run halafu nikakigeuza
mfanyakazi indirect way? yani nakinunulia smart phone ya 250k kila siku nakiambia kije kifanye kazi japo sikiiti kwa kukiambia kinakuja kufanya nini,then kinanitimizia mahtaji yangu yote?
Sihitaji wahivyo mkuu na siwezi hata kwa bahati mbaya date na mdada ataekuwa msaidizi wangu,NEVER. Nina sifa na vigezo vingi sana vya hadi mwanamke kuingia ndani kwangu Achilia mbali kupanda kitanda ninacholala.
Mimi ni moja ya wanaume wasioamini ktk mapenzi hasa kuoa au kuwa na mke,sipo kundi hilo na sihitaji i better find someone muda utapofika anizalie mtoto KWISHA habari,nitalea mwanangu . Sihitaji MKE au Mpenzi. STAKI.
i just love my self KWISHA.
Thank you so so so much for this commentTatizo watu wa jf ni kupeleka fikra kwingine. Sasa mtu amesema anahitaji mwanamke awe msichana,mmama ama hata bibi ili mradi amfanyie kazi zake kwa amani.
Sasa angekuwa anahitaji mtu wa kufanya naye mapenzi si angesema direct lazima awe binti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Labdaumeathirika kisaikolojia
Unahisi hadi umri nilio nao ntakua bikra wa mapenzi?ipo siku utaonja upande mwingine wa mapenzi na utajuta kuchelewa kuujua.
unavojiona mjuaji hutaki kuoa?
I feel sorry for you Madam! Aliekwambia sina mtoto ni nani? mbona uko too much know we kadada?jaribu kuzaa kwanza, ulee watoto, na mkeo hao watakupunguzia majukumu