Msaidizi wa Masanja alijiua kwa kukataliwa ombi baada ya kujaribu kumtongoza mke wa bosi kwenye simu, hii inaingia akilini?

Msaidizi wa Masanja alijiua kwa kukataliwa ombi baada ya kujaribu kumtongoza mke wa bosi kwenye simu, hii inaingia akilini?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Nimeshangaa sana juu ya huu uchunguzi mpya uliofanyika na kukuta kwamba, kuna meseji zilitumwa kabla ya msaidizi wake Masanja kuamua kujitoa uhai. Meseji hizo zilitoka kwenye namba ya msaidizi kwenda kwenye namba ya mke wa Masanja zilizokuwa zinaonesha msaidizi alikuwa anamtongoza mke wa bosi wake na Meseji ya nyundo za mbavu (kutoswa).

Nashangaa sana, maana kumtongoza mke wa bosi kwa simu ni hatari sana na kama ni hivyo basi alikurupuka kwa kujiamini sana.
 
Wengine wanasema kauliwa which is which

habari mkanganyiko
Watu wanapenda umbea na negative news. Huyo alipoenda kuonywa na monica akiwa na mwanamke mwingine akaona mambo yameshaharibika.

Ni kiburi ndio kimemponza maana pengine alikuwa anaonekana mtakatifu sana sasa akaona itakuwa aibu ikijulikana.
 
Watu wanapenda umbea na negative news. Huyo alipoenda kuonywa na monica akiwa na mwanamke mwingine akaona mambo yameshaharibika.

Ni kiburi ndio kimemponza maana pengine alikuwa anaonekana mtakatifu sana sasa akaona itakuwa aibu ikijulikana.
okay
 
Watu wanapenda umbea na negative news. Huyo alipoenda kuonywa na monica akiwa na mwanamke mwingine akaona mambo yameshaharibika.

Ni kiburi ndio kimemponza maana pengine alikuwa anaonekana mtakatifu sana sasa akaona itakuwa aibu ikijulikana.
Haiingii akilin kabisa!! Polisi huenda wameona waseme hivyo kwa maslahi mapana ya ndoa na malezi ya watoto kwenye familia ya Masanja!! Yaan polis wameona Bora watoe taarifa ambayo itarinda maslahi na malezi ya watoto... Sizan Kama Kuna mwanaume wakumtongoza mke wa mtu et akatae harafu ajinyonge,,hii haiingii akilin
 
Haiingii akilin kabisa!! Polisi huenda wameona waseme hivyo kwa maslahi mapana ya ndoa na malezi ya watoto kwenye familia ya Masanja!! Yaan polis wameona Bora watoe taarifa ambayo itarinda maslahi na malezi ya watoto... Sizan Kama Kuna mwanaume wakumtongoza mke wa mtu et akatae harafu ajinyonge,,hii haiingii akilin
Wale wale mnaopenda mambo negative. Ishu hapo sio kukataliwa. Ishu ni kuwa exposed kwasababu tayari monica kashaenda na mtu mwingine.
 
Nimeshangaa sana juu ya huu uchunguzi mpya uliofanyika na kukuta kwamba, kuna meseji zilitumwa kabla ya msaidizi wake Masanja kuamua kujitoa uhai. Meseji hizo zilitoka kwenye namba ya msaidizi kwenda kwenye namba ya mke wa Masanja zilizokuwa zinaonesha msaidizi alikuwa anamtongoza mke wa bosi wake na Meseji ya nyundo za mbavu (kutoswa).

Nashangaa sana, maana kumtongoza mke wa bosi kwa simu ni hatari sana na kama ni hivyo basi alikurupuka kwa kujiamini sana.
We vipi, kajiua baada ya kunyimwa kuendelea sio kupewa.
 
Haiingii akilin kabisa!! Polisi huenda wameona waseme hivyo kwa maslahi mapana ya ndoa na malezi ya watoto kwenye familia ya Masanja!! Yaan polis wameona Bora watoe taarifa ambayo itarinda maslahi na malezi ya watoto... Sizan Kama Kuna mwanaume wakumtongoza mke wa mtu et akatae harafu ajinyonge,,hii haiingii akilin
Huo ndo ukweli, dada alikuwa hataki tu kumpa tena jamaa utamu labda baada ya kushtukiwa na mumewe
 
Haya mambo yana jambo nyuma yake. Ila kwa vile shetani nia yake ni kudhalilisha wanaomwendea tutajua tu. Hapo mbele.
 
Nimeshangaa sana juu ya huu uchunguzi mpya uliofanyika na kukuta kwamba, kuna meseji zilitumwa kabla ya msaidizi wake Masanja kuamua kujitoa uhai. Meseji hizo zilitoka kwenye namba ya msaidizi kwenda kwenye namba ya mke wa Masanja zilizokuwa zinaonesha msaidizi alikuwa anamtongoza mke wa bosi wake na Meseji ya nyundo za mbavu (kutoswa).

Nashangaa sana, maana kumtongoza mke wa bosi kwa simu ni hatari sana na kama ni hivyo basi alikurupuka kwa kujiamini sana.
Chai
 
Back
Top Bottom