mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Je mtu mwenye akili timamu anaweza kujustify hizo pesa za bw.Ndalo alizotumia eti kwa safari za kikazi?Sam Six anaweza kuwa humo pia!
..uzuri ni kwamba Sitta hatakaa kimya kama Sumaye wakati mahasimu wake wanamchokonoa.
hicho ndio nachozipendea siasa za bongo sikuhizi,
sumaye alikaa kimya akajua ipo siku atasema,lakini ilimgharimu bwana,