Pre GE2025 Msaidizi wa Wa Halima Mdee Ahamia CCM. ASkofu Ngwajima na Amos Makala wamkaribisha

Pre GE2025 Msaidizi wa Wa Halima Mdee Ahamia CCM. ASkofu Ngwajima na Amos Makala wamkaribisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yaani hii nayo ni habari.

Tuna upuuzi mwingi sana kama Taifa.

Vyombo vya habari vinaripoti upuuzi na masuala ambayo hayana maana kabisa.
 
..inawezekana huyu ni msaidizi wa Halima ktk mambo ya Kizanzibari yake aliyosema Mange Kimambi.
 
Kwa tume hii na ulaghai wa Samia ulivyo, yeyote anayetaka kuwa mbunge ni vema akahamia ccm
 
Ccm nambinu yao ,kwamsigwa walianza na katibu wake hivyohivyo , atakayefata ni mdee
 
Makalla usjitie aibu kwa kupokea watu wadogo km hawa. Msaidizi wa Halima ndiyo nini,mtawakomba wengi kutoka CDM ili wawasaidie kuzungumza kwenye majukwaa kwa vile CCM imekata pumzi hakuna msemaji mzuri wa kimajukwaa.
 
Back
Top Bottom