ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Jul 6, 2024 #21 Ni katibu wake au
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jul 6, 2024 #22 MAPITO Mwanza said: Kama Kuna watu wajinga Duniani basi ni CCM no 1 Kwa ujinga Click to expand... Vumilia tuu mkuu 😂
MAPITO Mwanza said: Kama Kuna watu wajinga Duniani basi ni CCM no 1 Kwa ujinga Click to expand... Vumilia tuu mkuu 😂
Dr hyperkid JF-Expert Member Joined Jun 7, 2019 Posts 12,679 Reaction score 25,646 Jul 6, 2024 #23 nguo imempendeza sana huyo binti
Blank page JF-Expert Member Joined May 28, 2015 Posts 5,487 Reaction score 4,817 Jul 6, 2024 #24 Yaani hii nayo ni habari. Tuna upuuzi mwingi sana kama Taifa. Vyombo vya habari vinaripoti upuuzi na masuala ambayo hayana maana kabisa.
Yaani hii nayo ni habari. Tuna upuuzi mwingi sana kama Taifa. Vyombo vya habari vinaripoti upuuzi na masuala ambayo hayana maana kabisa.
J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Jul 6, 2024 #25 ..inawezekana huyu ni msaidizi wa Halima ktk mambo ya Kizanzibari yake aliyosema Mange Kimambi.
Lethergo JF-Expert Member Joined Aug 7, 2023 Posts 6,534 Reaction score 11,421 Jul 6, 2024 #27 Ngurukia said: Vidole na ulimi wake vikikatika. Click to expand... Mboni Anna Makinda hajaolewa Yule Kamishna wa Uhamiaji hajaolewa
Ngurukia said: Vidole na ulimi wake vikikatika. Click to expand... Mboni Anna Makinda hajaolewa Yule Kamishna wa Uhamiaji hajaolewa
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Jul 6, 2024 #28 Kwa tume hii na ulaghai wa Samia ulivyo, yeyote anayetaka kuwa mbunge ni vema akahamia ccm
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Jul 6, 2024 #29 zigo la maana,ana mbolea ya kutosha.
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 Jul 6, 2024 #30 Ccm nambinu yao ,kwamsigwa walianza na katibu wake hivyohivyo , atakayefata ni mdee
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Jul 6, 2024 #31 msimu wa mavuno
T tripof JF-Expert Member Joined Apr 2, 2024 Posts 829 Reaction score 1,120 Jul 6, 2024 #32 Makalla usjitie aibu kwa kupokea watu wadogo km hawa. Msaidizi wa Halima ndiyo nini,mtawakomba wengi kutoka CDM ili wawasaidie kuzungumza kwenye majukwaa kwa vile CCM imekata pumzi hakuna msemaji mzuri wa kimajukwaa.
Makalla usjitie aibu kwa kupokea watu wadogo km hawa. Msaidizi wa Halima ndiyo nini,mtawakomba wengi kutoka CDM ili wawasaidie kuzungumza kwenye majukwaa kwa vile CCM imekata pumzi hakuna msemaji mzuri wa kimajukwaa.