Uchaguzi 2020 Msajili aonya mpango wa vyama kuungana Oktoba 3

Hakuna kuungana ,wananchi tuna uelewa na tunachohitajiwa kufanya,fulustopu.
 
Wanatuchanganya. Mimi naipigia kura CCM. Are you happy now?
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......
 
Nikipewa Urais wa siku moja,kufikia saa 10am mswaada wa kufutilia mbali ofisi hii utakuwa umeshawasilishwa bungeni,vyama vyote vya kisiasa visajiliwe Home affairs na kupeleka usajili wao tume ya uchaguzi.
Wewe siku moja, mimi ile namaliza kiapo tu natoa amri ofisi ivunjwe
 
Kitu chochote kinachofanyika nje ya utaratibu wa kisheria automatic hicho hakipo na hakitakubalika popote....

Wasiwasi wa msajili sijui unatoka wapi wakati sheria iko mezani kwake..

Mimi nilidhani jibu lake lingekuwa rahisi tu, kuwa, msajili hautambui muungano huo usio rasmi kwa sababu hauko kisheria na kwa hiyo wanapoteza muda wao tu...!

Anachokifanya msajili ni kilekile anachofanya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Mr Wilson Mahera....kumsaidia mgombea wa CCM, Magufuli kupiga kampeni...!!
 
jiwe Tulia dawa iingie lissu anakudunga sindano za farasi
 

Attachments

  • IMG_20200929_150718.jpg
    37.5 KB · Views: 1
Tena ?
Sometimes nawaza labda kutokuwepo kwa Tume kungekuwa heri, kuliko uwepo wa hii Tume....

That's my Humble Opinion..., kwahio msinihukumu kwa kuwa na mawazo kuligana na upeo wao (nadhani badi haki hio ninayo)
 
msajili aache kuweweseka nani wanaungana,mbona hata jana jiwe alimwomba sugu amsugue vizuri c alikuwa anataka amuunge au nikusuguliwa kiaje
 
Huwezi kuzuia vyama visisaidiane kiitikadi. UDP na TLP wamesapoti CCM kwanini msajili anazuia kitu kama hicho kwa ACT na CDM?! Hata jana tu tumemsikia magu akimwomba Sugu amsugue huko Mbeya. Acheni udhalimu nyie.
Muwe mnasoma taarifa za tume,sio kukurupaka na kumwaga mapovu bure.Taarifa ya juzi,tume ilisema imewaandikia barua TPL ya kujieleza kwa nini wanamnadi mgombea wa CCM wakati wenyewe wana mgombea?
 
Atulize makalio yake
 
Yaan kwa sheria hii inatakiwa mpiga kura ampigie kura rais, mbunge, na diwani wa chama kimoja hata kama wabovu. Haitaki chaguo kama langu la

Rais: CHADEMA
Mbunge: CCM
Diwani: CCM

Hii sheria inakiuka haki yangu ya kuchagua au kuchaguliwa
 

Msajili anagombea akiwa na chama gani?

Mbona mipango ya wengine ina mjambisha mfululizo?
 
msajili aache kuweweseka nani wanaungana,mbona hata jana jiwe alimwomba sugu amsugue vizuri c alikuwa anataka amuunge au nikusuguliwa kiaje
Kwa Magufuli kuomba kuchaguliwa na CHADEMA na vyama vingine naye amekiuka sheria hii. WanaCHADEMA wakisema watamchagua nao watakuwa wamevunja sheria.

Natamani Sugu atoke hadharani aseme nitakuchagua ili nikusugue vizuri
 
Got you my man!

X = Clown
 
Huwezi kuzuia vyama visisaidiane kiitikadi. UDP na TLP wamesapoti CCM kwanini msajili anazuia kitu kama hicho kwa ACT na CDM?! Hata jana tu tumemsikia magu akimwomba Sugu amsugue huko Mbeya. Acheni udhalimu nyie.
Lissu ameshawaambia kilicho halali kwa Magufuli na kwa Lissu ni halali, halali kwa CCM na kwa CHADEMA ni halali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…