johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msajili wa vyama vya Siasa amepiga Marufuku Kongamano la Chadema mkoani Mbeya lililokuwa kifanyike kesho Jumatatu.
Msajili amesema matamko ya Chadema yanaashiria uvunjifu wa Amani. Amesema kwa mfano Bavicha wanasema " Siku hiyo tutaweka hatma ya nchi yetu Tanzania kama ambavyo Vijana wa Kenya Gen Z wamejitambua tunaenda kuweka Maazimio makubwa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu wa 2025".
Kwahiyo Ili kulinda Usalama wa Raia na Mali zao Msajili wa Vyama vya Siasa amefutilia mbali Kongamano hilo.
Pia soma=> Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Msajili amesema matamko ya Chadema yanaashiria uvunjifu wa Amani. Amesema kwa mfano Bavicha wanasema " Siku hiyo tutaweka hatma ya nchi yetu Tanzania kama ambavyo Vijana wa Kenya Gen Z wamejitambua tunaenda kuweka Maazimio makubwa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu wa 2025".
Kwahiyo Ili kulinda Usalama wa Raia na Mali zao Msajili wa Vyama vya Siasa amefutilia mbali Kongamano hilo.
Pia soma=> Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani