Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chukua hiyo, kuna kila dalili ya ukombozi kutokea Mbeya wiki hiiHaya ๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua hiyo, kuna kila dalili ya ukombozi kutokea Mbeya wiki hiiHaya ๐๐๐๐๐
Ukombozi wa nini?Chukua hiyo, kuna kila dalili ya ukombozi kutokea Mbeya wiki hii
Polisi ndiyo wavunjaji wakubwa wa amani nchi hiiAmani ni muhimu
Msajikiwa ccmView attachment 3066772
Msajili wa vyama vya Siasa amepiga Marufuku Kongamano la Chadema mkoani Mbeya lililokuwa kifanyike kesho Jumatatu
Msajili amesema matamko ya Chadema yanaashiria uvunjifu wa Amani. Amesema kwa mfano Bavicha wanasema " Siku hiyo tutaweka hatma ya nchi yetu Tanzania kama ambavyo Vijana wa Kenya Gen Z wamejitambua tunaenda kuweka Maazimio makubwa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu wa 2025"
Kwahiyo Ili kulinda Usalama wa Raia na Mali zao Msajili wa Vyama vya Siasa amefutilia mbali Kongamano hilo
Source: Mwananchi
Pia soma=> Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Kwa mamlaka gani alionayo km sio anapokea maagizo kutoka inzi wa kijaniView attachment 3066772
Msajili wa vyama vya Siasa amepiga Marufuku Kongamano la Chadema mkoani Mbeya lililokuwa kifanyike kesho Jumatatu
Msajili amesema matamko ya Chadema yanaashiria uvunjifu wa Amani. Amesema kwa mfano Bavicha wanasema " Siku hiyo tutaweka hatma ya nchi yetu Tanzania kama ambavyo Vijana wa Kenya Gen Z wamejitambua tunaenda kuweka Maazimio makubwa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu wa 2025"
Kwahiyo Ili kulinda Usalama wa Raia na Mali zao Msajili wa Vyama vya Siasa amefutilia mbali Kongamano hilo
Source: Mwananchi
Pia soma=> Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Wangewaacha tu...
Kuwazuia ni kuwapa mileage ambayo hawana...
Amani ni muhimu
Msitufokee,mlikuwa mnasema mbaya wenu alikuwa Magufuli, baada ya kifo cheke mlifanya sherehe kuwa mnakwenda kula kuku kwa mrija dhalimu hayupo tena, Sasahivi haya mnayatoa wapi, maana Mama yenu kipenzi na Serikali yake hawana shida.
Hawana hathari yoyote hawa kina Mdude kuwazua wanawapa kichwa.
Ukombozi wa nini?
Vyama vya Siasa vinaleta mageuzi tu ya namna ya kunyonya siyo Ukombozi
Sasa kuliko wakati mwingine wowote.Tanzania inahitaji Gen z.
Usiondoke jfUkombozi wa nini?
Vyama vya Siasa vinaleta mageuzi tu ya namna ya kunyonya siyo Ukombozi
Muambie basi SamiaHawana hathari yoyote hawa kina Mdude kuwazua wanawapa kichwa.
Eti hii nayo ni mizee iliyopewa madaraka
Amani hailindwi kwa uchawa!Amani ni muhimu
Upo sahii sana,Hakuna mwenye mamlaka ya kuzuia kongamano hilo
ni muhimu kuzuia viashiria vyoyote vya uvunjifu wa amani mapema,View attachment 3066772
Msajili wa vyama vya Siasa amepiga Marufuku Kongamano la Chadema mkoani Mbeya lililokuwa kifanyike kesho Jumatatu
Msajili amesema matamko ya Chadema yanaashiria uvunjifu wa Amani. Amesema kwa mfano Bavicha wanasema " Siku hiyo tutaweka hatma ya nchi yetu Tanzania kama ambavyo Vijana wa Kenya Gen Z wamejitambua tunaenda kuweka Maazimio makubwa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu wa 2025"
Kwahiyo Ili kulinda Usalama wa Raia na Mali zao Msajili wa Vyama vya Siasa amefutilia mbali Kongamano hilo
Source: Mwananchi
Pia soma=> Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Tusiwe wajinga kwani wamesema wanaenda kuvunja AMANIAmani ni muhimu
Rubbish una amani gani wakati watu wamejaa hasira na fundo za chuki rohoni. Hakuna amni watu are waiting fir the right time to "revenge"Amani ni muhimu