Pre GE2025 Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani

Pre GE2025 Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nikisema ccm ni wajinga mnielewe. Sione sababu za msingi za kuwazui hawa vijana wazalendo
 
View attachment 3066772
Msajili wa vyama vya Siasa amepiga Marufuku Kongamano la Chadema mkoani Mbeya lililokuwa kifanyike kesho Jumatatu

Msajili amesema matamko ya Chadema yanaashiria uvunjifu wa Amani. Amesema kwa mfano Bavicha wanasema " Siku hiyo tutaweka hatma ya nchi yetu Tanzania kama ambavyo Vijana wa Kenya Gen Z wamejitambua tunaenda kuweka Maazimio makubwa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu wa 2025"

Kwahiyo Ili kulinda Usalama wa Raia na Mali zao Msajili wa Vyama vya Siasa amefutilia mbali Kongamano hilo

Source: Mwananchi

Pia soma=> Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Msajikiwa ccm
View attachment 3066772
Msajili wa vyama vya Siasa amepiga Marufuku Kongamano la Chadema mkoani Mbeya lililokuwa kifanyike kesho Jumatatu

Msajili amesema matamko ya Chadema yanaashiria uvunjifu wa Amani. Amesema kwa mfano Bavicha wanasema " Siku hiyo tutaweka hatma ya nchi yetu Tanzania kama ambavyo Vijana wa Kenya Gen Z wamejitambua tunaenda kuweka Maazimio makubwa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu wa 2025"

Kwahiyo Ili kulinda Usalama wa Raia na Mali zao Msajili wa Vyama vya Siasa amefutilia mbali Kongamano hilo

Source: Mwananchi

Pia soma=> Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Kwa mamlaka gani alionayo km sio anapokea maagizo kutoka inzi wa kijani
 
Msitufokee,mlikuwa mnasema mbaya wenu alikuwa Magufuli, baada ya kifo cheke mlifanya sherehe kuwa mnakwenda kula kuku kwa mrija dhalimu hayupo tena, Sasahivi haya mnayatoa wapi, maana Mama yenu kipenzi na Serikali yake hawana shida.

Hakuna anayekufokea ni stress zako na hasira.
 
View attachment 3066772
Msajili wa vyama vya Siasa amepiga Marufuku Kongamano la Chadema mkoani Mbeya lililokuwa kifanyike kesho Jumatatu

Msajili amesema matamko ya Chadema yanaashiria uvunjifu wa Amani. Amesema kwa mfano Bavicha wanasema " Siku hiyo tutaweka hatma ya nchi yetu Tanzania kama ambavyo Vijana wa Kenya Gen Z wamejitambua tunaenda kuweka Maazimio makubwa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu wa 2025"

Kwahiyo Ili kulinda Usalama wa Raia na Mali zao Msajili wa Vyama vya Siasa amefutilia mbali Kongamano hilo

Source: Mwananchi

Pia soma=> Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
ni muhimu kuzuia viashiria vyoyote vya uvunjifu wa amani mapema,

kongole sana msajili wa vyama vya siasa, kongole Jeshi letu tukufu la police kuwakabili wahalifu hao na kuwasambaratisha mapema kabla ya ujambazi na uharibifu waliokusudia kuufanya ๐Ÿ’
 
Back
Top Bottom