Msajili wa Hazina: Serikali kuyafuta Mashirika na Taasisi 40 za Umma zinazozalisha hasara na kutegemea ruzuku ya Serikali kuu

Msajili wa Hazina: Serikali kuyafuta Mashirika na Taasisi 40 za Umma zinazozalisha hasara na kutegemea ruzuku ya Serikali kuu

Shirika kama ATCL sijui watalifanyaje?, hapa ni kuingia ubia na waendeshaji wazoefu, ambao wana njia nyingi duniani, na idadi kubwa ya watalii, infact "AIR LOGISTICAL GIANT"
 
😂😂😂😂

Mchechu anaanzia alipoishia Dr Kigoda awamu ya 3 🐼
Nchi hii kuja kuendelea na kuwa stable itabaki ndoto. Kila raisi akiingia madarakani anakuja na approach yake. JPM alituvuruga sana sekta binafsi kwa kutaka serikali ifanye biashara, akatumia matrilioni ya shilingi, then tunarudi tena tulikokuwa na hasara haifidiwi tena
 
Kabla ya kubinafsisha hayo mashirika wateuliwe wasomi wa chadema wayasimamie labda yataweza kujiendesha kwa faida, faida kubwa ikabaki serikalini.

Tujaribu kufikiria nje ya box.
 
Huyo jamaa pamoja na Mwigulu wanatakiwa kupisha hizo nafasi.

Nimemsikiliza bi-tozo akisifia sijui mamlaka gani ya maji kwenda kutafuta hela public na kukusanya tsh 54 billion kama invest capital.

Shida sio hiyo mamlaka ya maji kupata hizo hela, je serikali inachukulia huduma ya maji merit good (accessible to everyone) where there is a need of price control au ni swala la market determinant whereby price is not regulated.

Vinginevyo kama huduma ya maji ni merit good bado lazima serikali itoe subsidy. Tatizo bado una control vipi prices za maji, operation costs za shirika mahala ambapo watu wanatakiwa kuwaridhisha shareholders.

Tumefikia vipi hapo nimesikiliza majibu ya Mwigulu kwenye ku-justify serikali kumudu madeni ya wakandarasi yanayokuwa kila uchao na kuna watu wanadai kwa miaka mitano (yeye anasema saba)

Unapata picha kwanini Kafulila anaongea sana kuhusu PPP hali ni mbaya.

Mambo mengine ni ya kusubiri madhara yatokee kuelezea makosa ya kiufundi wanayofanya ni story nyingine ndefu.
 
Msajili wa Hazina amesema Serikali katika mwaka wa Fedha 2024/25 Serikali Kupitia Hazina inatarakia Kuyafuta Mashirika na Taasisi za Umma 40 ambazo zilianzishwa Kwa minajiri ya kibiashara lakini zimeshindwa kabisa kujiendesha kibiashara na kutegemeana ruzuku ya serikali kuu.

Serikali inakusudia kusalia na mashirika makini yanayoweza Kuzalisha faida na kukuza Uchumi badala ya kuwa na utitiri wa mashirika mzigo.

===

Nehemia Mchechu, the Treasury registrar, said this at a press briefing ahead of a workshop for board chairmen and chief executives of parastatal organisations starting today.

President Samia Suluhu Hassan will officiate at the opening of the workshop, intended to review the status of institutions that fail to contribute to government revenue, while there is a need to reduce dependency on government funds.

The Treasury Registrar’s office expects to see a decrease in the number of institutions reliant on government support, for instance as regards salaries and operational costs.

This implies reducing 30 to 40 institutions, he said, noting that if the exercise is successful it will encourage contributors to budgetary funds to increase their contributions, in expectation that the government would have sufficient funds to deliver essential social services.

He explored the TR’s role as custodian of public investments overseeing 248 public organisations and 58 other entities where the government also holds shares.

The total book value of public investments stands at 76trn/- as the registrar closes accounts for this year, he said.

The 76trn/- public investments are central to the country’s economy, he said, pointing out that managements of public investments oversee non-tax revenue, sourcing over 95 percent of non-tax revenues.

Affirming the importance of the meeting, he said the consultations facilitate changes and improvements in the management of public institutions.

The number of institutions contributing dividends to the government had increased from 109 to 145 during the past financial year, while this year the registrar intends to strengthen board training, new guidelines and enhanced residential support.

The meeting will feature presentations from local and international speakers, examining how public institutions can explore investments beyond Tanzania’s borders, he said.

Various topics will be covered, offering participants opportunities to exchange experiences, review resolutions from last year's meeting, reaffirm government expectations and plan strategies for the current year, he added.

The Guardian

My Take
Naunga mkono hoja,hii ndio maana ya Serikali ya Mageuzi inayoongozwa na Rais Samia. Tuwape muda na ATCL,TRC na TAZARA Ili nao wakishindwa, shughuli zao Wapewe sekta binafsi badala ya kuchukua Kodi yetu kwenda kuyaendeshea.

Pakistan wameweza kuuza Shirika lao la ndege ,Tanzania tunang'ang'ania hasara Kwa faida ya nani?
yataje kwa majina na hasara kiasi gani? ushauri wangu tuvunje board na kufuta kazi management tuwele zingine kwanza
 
Nchi hii kuja kuendelea na kuwa stable itabaki ndoto. Kila raisi akiingia madarakani anakuja na approach yake. JPM alituvuruga sana sekta binafsi kwa kutaka serikali ifanye biashara, akatumia matrilioni ya shilingi, then tunarudi tena tulikokuwa na hasara haifidiwi tena
Kweli , kila siku tunaanza upya .Hapo 2025-2030 utashangaa kuna kitu kipya .
 
Ni mpaka mpate Rais mwenye malengo wa biashara na mwenye uthubutu kama Samia.

Moja ya mambo Huwa namsifu Rais Samia ni kuchukua maamuzi bila kujali makelele,hata kule Ngorongoro Kwa Masai Kuna sheria ipo Toka enzi ya Nyerere ila walitangulia hawakuchukua hatua mapema Hadi kupelekea watu kuwa wengi mara 5 zaidi ya idadi iliyoruhusiwa.

Sasa hivi Samia anawahamisha Kuna wapumbavu wanakuja na makelele ya kijinga ya sijui Waarabu sijui ilimradi tuu waoinge.
Sasa sijui Nyerere au Rais mwingine angezuiaje, watu/population inakua exponentially wewe utazuiaje? Waende wakakae sehemu gani na kufuatana na culture zao? Huwezi kubadirisha culture ya mtu labda uwe na incentive kubwa sana, otherwise ni discrimination, ati Ngorongoro ni heritage, sawa, na bila ya wamasai haiwi tena; Ngorongoro = Wamasai= Heritage huwezi kutenganisha. Come with a huge incentive siyo kuja na vibanda ati ndiyo masai anataka; it is more than that!
 
Mwanzo walituambia kuwa nchi imefunguliwa na mashirika ya umma yote yanajiendesha Kwa faida,Sasa imekuwaje tena wanataka kuyafuta?
 
Msajili wa Hazina amesema Serikali katika mwaka wa Fedha 2024/25 Serikali Kupitia Hazina inatarakia Kuyafuta Mashirika na Taasisi za Umma 40 ambazo zilianzishwa Kwa minajiri ya kibiashara lakini zimeshindwa kabisa kujiendesha kibiashara na kutegemeana ruzuku ya serikali kuu.

Serikali inakusudia kusalia na mashirika makini yanayoweza Kuzalisha faida na kukuza Uchumi badala ya kuwa na utitiri wa mashirika mzigo.

===

Nehemia Mchechu, the Treasury registrar, said this at a press briefing ahead of a workshop for board chairmen and chief executives of parastatal organisations starting today.

President Samia Suluhu Hassan will officiate at the opening of the workshop, intended to review the status of institutions that fail to contribute to government revenue, while there is a need to reduce dependency on government funds.

The Treasury Registrar’s office expects to see a decrease in the number of institutions reliant on government support, for instance as regards salaries and operational costs.

This implies reducing 30 to 40 institutions, he said, noting that if the exercise is successful it will encourage contributors to budgetary funds to increase their contributions, in expectation that the government would have sufficient funds to deliver essential social services.

He explored the TR’s role as custodian of public investments overseeing 248 public organisations and 58 other entities where the government also holds shares.

The total book value of public investments stands at 76trn/- as the registrar closes accounts for this year, he said.

The 76trn/- public investments are central to the country’s economy, he said, pointing out that managements of public investments oversee non-tax revenue, sourcing over 95 percent of non-tax revenues.

Affirming the importance of the meeting, he said the consultations facilitate changes and improvements in the management of public institutions.

The number of institutions contributing dividends to the government had increased from 109 to 145 during the past financial year, while this year the registrar intends to strengthen board training, new guidelines and enhanced residential support.

The meeting will feature presentations from local and international speakers, examining how public institutions can explore investments beyond Tanzania’s borders, he said.

Various topics will be covered, offering participants opportunities to exchange experiences, review resolutions from last year's meeting, reaffirm government expectations and plan strategies for the current year, he added.

The Guardian

My Take
Naunga mkono hoja,hii ndio maana ya Serikali ya Mageuzi inayoongozwa na Rais Samia. Tuwape muda na ATCL,TRC na TAZARA Ili nao wakishindwa, shughuli zao Wapewe sekta binafsi badala ya kuchukua Kodi yetu kwenda kuyaendeshea.

Pakistan wameweza kuuza Shirika lao la ndege ,Tanzania tunang'ang'ania hasara Kwa faida ya nani?
Ccm ndio balaa kubwa ktk taifa hili. Utashangaa pale ambapo tumeshawekeza mabilioni au matrilioni watagawa kwa bei ya kutupa. Ni kweli mashirika haya yanatia hassra, lakini tutakapo yauza/kubinafsisha tupate thamani halisi, sio kugawia makada na wafadhili wa ccm. Na nawashanga, kwa mfano Atcl tunajua inatia hasara lakini bado tunaendelea kuagiza ndege za nini?
 
Back
Top Bottom