Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaHicho ni kikao cha CCM watupu...kitengo cha CCM usajili wa vyama kikiongozwa na Mwenyekiti wake Mutungi kinakutana na kitengo cha CCM polisi kikiongozwa na Mwenyekiti wake Sirro.
Wamekurana kuijadili chadema,Kama kichwa kinavyojieleza ndivyo ilivyokuwa , Japo Taarifa za awali zilisema kwamba Msajili wa vyama vya siasa ndio angekutana na Jeshi la Polisi ila sasa imekuwa kinyume chake kutoka na mazingira ya Mkutano huo kufanyika kwenye Ukumbi wa Polisi Dodoma , Haukufanyika kwenye ofisi za Msajili , hii maana yake ni kwamba Mutungi ndiye aliyealikwa , na bila shaka yeye hakuwa na Ajenda , bali Polisi ndiyo waliokuwa na ajenda
View attachment 1949745View attachment 1949746View attachment 1949747
CCM wanakutana na CCM, kazi ipoKama kichwa kinavyojieleza ndivyo ilivyokuwa , Japo Taarifa za awali zilisema kwamba Msajili wa vyama vya siasa ndio angekutana na Jeshi la Polisi ila sasa imekuwa kinyume chake kutoka na mazingira ya Mkutano huo kufanyika kwenye Ukumbi wa Polisi Dodoma , Haukufanyika kwenye ofisi za Msajili , hii maana yake ni kwamba Mutungi ndiye aliyealikwa , na bila shaka yeye hakuwa na Ajenda , bali Polisi ndiyo waliokuwa na ajenda
View attachment 1949745View attachment 1949746View attachment 1949747
Mutungi ni ngumu sana kumfikiria kuwa ana sifa ya kuweza hata kuwa hakimu wa mahakama ya mwanzo. Hajawahi kutambua hata majukumu ya ofisi yake. Yupo pale kama tarishi wa CCM. Hata hicho anachofanya sasa ni maagizo ya CCM.Kama kichwa kinavyojieleza ndivyo ilivyokuwa , Japo Taarifa za awali zilisema kwamba Msajili wa vyama vya siasa ndio angekutana na Jeshi la Polisi ila sasa imekuwa kinyume chake kutoka na mazingira ya Mkutano huo kufanyika kwenye Ukumbi wa Polisi Dodoma , Haukufanyika kwenye ofisi za Msajili , hii maana yake ni kwamba Mutungi ndiye aliyealikwa , na bila shaka yeye hakuwa na Ajenda , bali Polisi ndiyo waliokuwa na ajenda
View attachment 1949745View attachment 1949746View attachment 1949747
kitaka uendeshe nchi kwa kusikiliza wapinzani wa serikali wanasemaje lazima upotee mama endelea kuchapa kazi hao wapuuzi wacha wasemeee mpaka watachoka
Kwani PGO inasemaje kuhusu vikao vinavyopaswa kulipwa posho?Hivyo vikao si vina posho enheee
Kwani wapinzani sio watanzania?Ukitaka uendeshe nchi kwa kusikiliza wapinzani wa serikali wanasemaje lazima upotee mama endelea kuchapa kazi hao wapuuzi wacha wasemeee mpaka watachoka