Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #141
Utavunjika wewe na kuiacha Tanzania ikiwa moja na imara zaidi.Ya nini hiyo serikali moja, stress za Zanzibar za nini ????????????????????????????
Kelele na distraction hazitakuja ziishe
Muungano wa nchi ya watu milioni 60 na nchi ya watu milioni moja unusu haiwezekani
Muungono uvunjike tujue moja
Zanzibar haiwezi kukubali kuwa Mtwara ndani ya Tanzania
Na Tanganyika haiwezi kuendelea kubeba hasara za muungano na ka-Zanzibar
Zanzibar inatu cost sana Tanganyika, tusebe basi imetosha, tuvunje huu Muungano.
Ulivyo muungano wetu ndio unatengeneza hoja za ubaguzi.Jaribu kujielisha kufahamu muundo wa muungano wetu ulivyo na sababu ya kuwa hivyo.
heri umesoma kimyakimyaMimi siyo kipofu.
sasa unahangaika nini na wasiojitambua,komaa na hilo lizigo lako ciciemu mafisadiNi wasiojitambua pekee ndio wanaoweza kuwa wanachadema na kuiunga mkono CHADEMA.
Kasome kitabu cha uongozi wetu na hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Mwalimu Nyerere ili uweze kuelewa sababu ya muungano wetu huu adhimu kuwa hivyo ulivyo.Ulivyo muungano wetu ndio unatengeneza hoja za ubaguzi.
Muundo wa muungano unapaswa kufanyiwa marekebisho ili tuwe na serikali moja kwa maoni yangu.
Hoja yangu inahusu ujinga na ukichaa wa CHADEMA kutaka kuleta ubaguzi na kuchochea ubaguzi hapa nchini.kama nawe una hoja basi ianzishie uzi wake upate majibu yake.Unaonaje tukianza na Yule Kijana wa kagera wa kupoteza watu.Afu tukafuata na mawaziri wanaomtukana Rais kwa mujibu wa makonda?Maana Rais ni wa nchi sio chama.
Wewe huna akili.sasa unahangaika nini na wasiojitambua,komaa na hilo lizigo lako ciciemu mafisadi
Sasa Ubaguzi na uuaji kipi kibaya,sababu mwana chama mwenzio alisema kuwa atawapoteza watu tena bila kujali vyombo vya sheria na akiwa na sare za Chama kwenye Kikao cha chama.Hoja yangu inahusu ujinga na ukichaa wa CHADEMA kutaka kuleta ubaguzi na kuchochea ubaguzi hapa nchini.kama nawe una hoja basi ianzishie uzi wake upate majibu yake.
Kwani kupoteza na kuuwa unaona maneno hayo yanafanana? Mtu kusema tutawapoteza anaweza maanisha kummaliza mtu kiushawishi wake na kupata uungwaji mkono kutoka kwa wananchi.Sasa Ubaguzi na uuaji kipi kibaya,sababu mwana chama mwenzio alisema kuwa atawapoteza watu tena bila kujali vyombo vya sheria na akiwa na sare za Chama kwenye Kikao cha chama.
Wewe unahalalisha Hili? Basi Chama chako kianze kufungiwa.
Acha uchawa hatutaki MuunganoNdugu zangu Watanzania,
Nauliza kwa uchungu mkubwa sana kuwa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ipo wapi? Inafanya kazi gani? Imelala wapi huko usingizi wa pono mpaka inashindwa kuona hatari kubwa inayoletwa na CHADEMA hapa nchini? Msajili unaendeleaje kupokea mshahara ambao ni kodi zetu watanzania wakati unatuweka hatarini watanzania na amani ya Taifa letu?
Sheria ya vyama vya siasa inakataza na kupiga marufuku kabisa kwa chama chochote cha siasa kufanya siasa zenye kuchochea ubaguzi kwa misingi ya Udini, ukabila na hata ukanda.sheria inakataza pia kwa chama cha siasa kunadi sera zinazohamasisha au zenye lengo la kuvunja muungano wetu au zenye lengo za kufanya siasa za upande mmoja tu wa muungano.
Lakini leo hii tunashuhudia CHADEMA kupitia viongozi wake wakichochea chuki kali sana na kupandikiza uasi wa kuuvunja muungano wetu pamoja na kuchochea ukanda pasipo kuchukuliwa hatua za aina yoyote ile.ni hatari sana hii inayokuja kwa Taifa letu ikiwa hali hii ya kupandikiza mbegu za ubaguzi itaachwa iendelee kuhubiliwa na kuenezwa na CHADEMA.hii siyo siasa tuliyoitaka watanzania.hatukutaka siasa za kuja kutugawa watanzania na kulipasua Taifa letu.
Tulihitaji siasa za hoja,siasa za sera mbadala, siasa za fikira na mawazo mbadala juu ya ujenzi wa Taifa letu,siasa za hoja ya namna bora ya kulipeleka mbele Taifa letu .Siasa za mawazo mapya ya namna bora ya kutumia rasilimali zetu kwa usahihi katika kuinua uchumi wa Taifa letu na kuboresha maisha ya watanzania wote pamoja na usambazaji wa huduma za kijamii pamoja na kupunguza utegemezi.
Lakini inaogopesha na kutisha sana tunapoona CHADEMA imebadili majukwaa ya kisiasa kuwa uwanja wa kuwasha moto wa kuchochea machafuko kwa Taifa letu.chadema wameishiwa hoja za kuwashawishi watanzania na sasa wameamua waanze kupandikiza mbegu za ubaguzi na chuki kwenye mioyo ya watanzania. Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana ,ni sawa na kula nyama ya mtu ambapo huwezi ukaacha ukishakula nyama hiyo.
leo CHADEMA wameanza kupandikiza mbegu ya ubaguzi ,jinsia , ukanda na mengine mengi.hawataishia hapo bali wataenda mbele zaidi kuanza ubaguzi wa mkoa na mkoa kwa kusema mkoa huu unachangia mapato makubwa sana na hivyo ujitenge na kupewa hadhi ya aina yake.
Msajili wa vyama vya siasa amka ofisini haraka sana uchukue hatua kali sana kabla nchi haijaingia katika matatizo ambayo yatalisambaratisha na kuligawa Taifa vipande vipande. Tumia sheria kuwaadhibu CHADEMA kwa kuwa tayari wameshavunja sheria zote za usajili wao .na sasa wanastahili kufutiwa usajili. Mambo yanaanzaga hivi hivi mpaka mwisho inakuwa donda ndugu litakalolitesa Taifa lote..
Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa,.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mfano upi wa Ubaguzi hebu tuambieNdugu zangu Watanzania,
Nauliza kwa uchungu mkubwa sana kuwa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ipo wapi? Inafanya kazi gani? Imelala wapi huko usingizi wa pono mpaka inashindwa kuona hatari kubwa inayoletwa na CHADEMA hapa nchini? Msajili unaendeleaje kupokea mshahara ambao ni kodi zetu watanzania wakati unatuweka hatarini watanzania na amani ya Taifa letu?
Sheria ya vyama vya siasa inakataza na kupiga marufuku kabisa kwa chama chochote cha siasa kufanya siasa zenye kuchochea ubaguzi kwa misingi ya Udini, ukabila na hata ukanda.sheria inakataza pia kwa chama cha siasa kunadi sera zinazohamasisha au zenye lengo la kuvunja muungano wetu au zenye lengo za kufanya siasa za upande mmoja tu wa muungano.
Lakini leo hii tunashuhudia CHADEMA kupitia viongozi wake wakichochea chuki kali sana na kupandikiza uasi wa kuuvunja muungano wetu pamoja na kuchochea ukanda pasipo kuchukuliwa hatua za aina yoyote ile.ni hatari sana hii inayokuja kwa Taifa letu ikiwa hali hii ya kupandikiza mbegu za ubaguzi itaachwa iendelee kuhubiliwa na kuenezwa na CHADEMA.hii siyo siasa tuliyoitaka watanzania.hatukutaka siasa za kuja kutugawa watanzania na kulipasua Taifa letu.
Tulihitaji siasa za hoja,siasa za sera mbadala, siasa za fikira na mawazo mbadala juu ya ujenzi wa Taifa letu,siasa za hoja ya namna bora ya kulipeleka mbele Taifa letu .Siasa za mawazo mapya ya namna bora ya kutumia rasilimali zetu kwa usahihi katika kuinua uchumi wa Taifa letu na kuboresha maisha ya watanzania wote pamoja na usambazaji wa huduma za kijamii pamoja na kupunguza utegemezi.
Lakini inaogopesha na kutisha sana tunapoona CHADEMA imebadili majukwaa ya kisiasa kuwa uwanja wa kuwasha moto wa kuchochea machafuko kwa Taifa letu.chadema wameishiwa hoja za kuwashawishi watanzania na sasa wameamua waanze kupandikiza mbegu za ubaguzi na chuki kwenye mioyo ya watanzania. Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana ,ni sawa na kula nyama ya mtu ambapo huwezi ukaacha ukishakula nyama hiyo.
leo CHADEMA wameanza kupandikiza mbegu ya ubaguzi ,jinsia , ukanda na mengine mengi.hawataishia hapo bali wataenda mbele zaidi kuanza ubaguzi wa mkoa na mkoa kwa kusema mkoa huu unachangia mapato makubwa sana na hivyo ujitenge na kupewa hadhi ya aina yake.
Msajili wa vyama vya siasa amka ofisini haraka sana uchukue hatua kali sana kabla nchi haijaingia katika matatizo ambayo yatalisambaratisha na kuligawa Taifa vipande vipande. Tumia sheria kuwaadhibu CHADEMA kwa kuwa tayari wameshavunja sheria zote za usajili wao .na sasa wanastahili kufutiwa usajili. Mambo yanaanzaga hivi hivi mpaka mwisho inakuwa donda ndugu litakalolitesa Taifa lote..
Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa,.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watanzania tunauhitaji muungano wetu uendelee kudumu na ndio maana Tunaendelea kuulinda na kudumisha umoja ,udugu , mshikamano na umoja wa kitaifa.Acha uchawa hatutaki Muungano
Swali Lini Mtanganyika Ulimuona Katawala Zanzibar?CHADEMA wanahamasisha na kuchochea ubaguzi kati ya wananchi wa Zanzibar na Bara,wanasema wazanzibari hawana haki huku Bara,wanasema hawastahili kushika uongozi ikiwepo Urais ,wanataka na kudhamiria na kutaka kuhamasisha kuuvunja muungano.
Sera iliyopo Ni Aidha kubaki na Nchi moja ya Tanzania na Zanzibar iwe Mkoa na Sio Nchi au Kuanzisha kwa serkali Tatu..Tunataka vyama vyenye mawazo mbadala,sera mbadala ,ajenda zenye kugusa maisha ya watu.na siyo vyama kama CHADEMA vyenye kichocheo machafuko,ubaguzi na mifarakano ndani ya Taifa letu.
Embu nenda kasome kitabu cha uongozi wetu na hatima ya Tanzania ,kilichoandikwa na Mwalimu Nyerere halafu ndio uje tena hapa.Sera iliyopo Ni Aidha kubaki na Nchi moja ya Tanzania na Zanzibar iwe Mkoa na Sio Nchi au Kuanzisha kwa serkali Tatu..
Haiwezekani Kuwa na Serikali ya Muungano, Serkali ya Mapinduzi ya zanzibar ila Serkali ya Tanganyika Isiwepo Huo ni utumwa
Lucas!Embu nenda kasome kitabu cha uongozi wetu na hatima ya Tanzania ,kilichoandikwa na Mwalimu Nyerere halafu ndio uje tena hapa.
Kauli za Lissu ni za hovyo sana,huyu mtu hata familia yake itafutwe ipigwe hujmaSheria gani hiyo..
Kwanza sheria/Katiba unaifahamu?