Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka vyama vyenye mawazo mbadala,sera mbadala ,ajenda zenye kugusa maisha ya watu.na siyo vyama kama CHADEMA vyenye kichocheo machafuko,ubaguzi na mifarakano ndani ya Taifa letu.RUZUKU UCHUKUE WEWE ??KILA WATU NA RIZIKI YAO ANZISHA CHAMA
Hata mimi sijasoma maneno yako ya mbele badala ya neno sijasoma.Sijasoma ila swali langu bwana Lucas unapataga posho kwa kazi hii ngumu uifanyayo?
Anzishaaa tujeTunataka vyama vyenye mawazo mbadala,sera mbadala ,ajenda zenye kugusa maisha ya watu.na siyo vyama kama CHADEMA vyenye kichocheo machafuko,ubaguzi na mifarakano ndani ya Taifa letu.
Hoja hiyo ilipingwa ndani ya bunge mulemule. Tofauti na ninyi nyumbu wa CHADEMA mnaoshindwa kuwakemea na kuwakanya viongozi wenu kuacha kupandikiza mbegu za ubaguzi na chuki za kijinga. Washawishini watanzania kwa hoja na siyo kwa hoja za kibaguzi.Mbunge wa CCM kutoka Zanzibar alipodai Passport kwa Watanganyika huo si Ubaguzi! Ni hoja
Mtanganyika akisema ni Ubaguzi.
Hoja hiyo ilipingwa ndani ya bunge mulemule. Tofauti na ninyi nyumbu wa CHADEMA mnaoshindwa kuwakemea na kuwakanya viongozi wenu kuacha kupandikiza mbegu za ubaguzi na chuki za kijinga. Washawishini watanzania kwa hoja na siyo kwa hoja za kibaguzi.Mbunge wa CCM kutoka Zanzibar alipodai Passport kwa Watanganyika huo si Ubaguzi! Ni hoja
Mtanganyika akisema ni Ubaguzi.
Karibu CCM Chama kinachomjali na kumheshimu kila mtanzania ,tofauti na vikundi kama CHADEMA ambavyo vimekuwa kama magenge ya wavuta bangi.Anzishaaa tuje
Nimeacha nafasi uweke namba yako ndugu yangu.Umesahau number ya simu Boss
Peleka ujinga wako huko.Acha upuuzi, awashughulikie kwanza hao wanaotaka kupoteza watu.
Hatuwezi kufumbia ujinga wa kuleta hoja za kibaguzi kwenye Taifa letu.Kama ni siasa za hoja- andaeni mdahalo na chadema tujue mbivu na mbichi- sio kukimbilia huko kwenye kichaka cha ubaguzi…
Umehamia huku? Huna hoja. Kaa kimya.Tundu Lissu ni shoga la wazungu. Ilikuwa sahihi Magu kulimaliza
Nikoooukoo .mkuu ila napendaa upinzan pia uwepooKaribu CCM Chama kinachomjali na kumheshimu kila mtanzania ,tofauti na vikundi kama CHADEMA ambavyo vimekuwa kama magenge ya wavuta bangi.
Upinzani uwe ni wenye hoja,sera na ajenda za kueleweka na siyo hizo wanazofanya na kueneza CHADEMA kwa sasa za kutaka kusambaza ubaguzi na mifarakano kwenye Taifa letu.Nikoooukoo .mkuu ila napendaa upinzan pia uwepoo
Wewe ndiye huna hoja.Umehamia huku? Huna hoja. Kaa kimya.
Kwa akili yako uliyonayo watu wawili wakifanya makosa yale makosa yanabadilika yanakuwa ukweli? Kwa hiyo unataka tufumbie macho ujinga wa Lissu wa kuhamasisha ubaguzi kwenye Taifa letu?Jussa na OMO wanatukana muungano kila siku mbona hatuwasikii mkisema, akisema TL ni shida
Usifanye kazi ya kuorodhesha vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Weka ushahidi usio na shakaLucas!!?
Ccm tumevunja latina mara ngapi!!?
Tumelinda wezi na wabadhirifu plus mafisadi mara ngapi!!?
Tumewaonea wanyonge Kwa kutetea wezi mara ngapi!!?
Tumesain mikataba isiyokua na faida Kwa watz Bali mafisadi mara ngapi!!?
Kabla haijafutwa Chadema mwambie msajili aifute kwanza ccm yetu tuanze usajili was vyama upya!!!