Msajiri awe na nguvu kufuta chama chenye serikali

Msajiri awe na nguvu kufuta chama chenye serikali

Malick M. Malick

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
658
Reaction score
312
Naomba Katiba Mpya itoe nguvu kisheria inapoona na kujirizisha kisheria kukifuta chama chochote kitachovunja sheria bila kujari kitakuwa na serikali au laa,na viongozi waliochaguliwa na wananchi wawe na uwezo wa kuanzisha vyama au kuhamia kingine bila kupoteza mamlaka yake kiuongozi
"VV"
 
Back
Top Bottom