Msakila Kabende - CDM inayokataa BODABODA NA WANAWAKE inajivunia nini?

Maybe hunifahamu, nimejiajiri na kuajiri
Kwani wewe unasemaje ? Mbona hujajiajiri huko? Kutwa kucha uko mitandaoni.
Tafuta uhakika wa maandishi haya - si tu kujiajiri mimi bali hata uzao wangu sipendi waajiriwe.
 
Hatushangai kwa kuwa Lisu vijana wake ni raia wa usa. Huyu mwingine anabwabwaja tu kila kuchao vijana, wanawake na ugali sijui huko Canada alikokuwa alilishwa maharage ya wapi.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Ukosefu wa hoja, yaani wanafikiri kila machinga, bodaboda na mama ntilie ni mhitimu wa chuo kikuu kwamba lazma aingie ofisini. Lakini bodaboda hao ndo wamekuwa wakitumika ktk kutetea wanasiasa hadi kushinikiza watangazwe kwenye chaguzi hata maandamano. Watakuwa hawajui maana ya kazi
 
Lema ni mpuuzi sana!
Halafu mtu mwenye "kichwa cheupe" kama Godbless Lema eti naye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA!
CHADEMA ni debe tupu kabisa!
Kama ni debe tupu tuu unahangaika naye nini?
Mbona hukomenti kauli za kijinga za Musukuma, Kibajaji na wapuuzi wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…