Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Ndugu wanajamii, nimepata tetesi kuna mpango kabambe utakaoendeshwa na polisi hapa Arusha kwenye majimbo yote ya uchaguzi hapa Arusha , kwa kuwa ccm wameshaandikisha watu wao, watakama woote ambao wanaoonekana kuwa upinzani, ila zoezi litafanyika kama ni kuwakamata wazururaji.
Usiulize sorce. Habari ndio hiyo.
My take: Tahadhari ya hali ya juu ichukuliwe kwa kuwa hawa jamaa wana mbinu nyingi sana za kujaribu kupunguza kura za upinzani. Nashauri watu watembee na vitambulisho.
Usiulize sorce. Habari ndio hiyo.
My take: Tahadhari ya hali ya juu ichukuliwe kwa kuwa hawa jamaa wana mbinu nyingi sana za kujaribu kupunguza kura za upinzani. Nashauri watu watembee na vitambulisho.