Pre GE2025 Msako wa kura za Kanda ya Ziwa kuongozwa na Wasira, Dotto Biteko, Musukuma, Bashungwa, na Mabula's. Ni kivumbi!

Pre GE2025 Msako wa kura za Kanda ya Ziwa kuongozwa na Wasira, Dotto Biteko, Musukuma, Bashungwa, na Mabula's. Ni kivumbi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hao ni baadhi tu ya watakaolitimua vumbi kuzisaka kura za CCM kanda ya ziwa.

Watasaga sore za viatu kuzisaka kura za mama samia na wagombea wa CCM kupitia a very sophisticated campaign network iliyoanza kusukwa miaka mitatu iliyopita mpaka ngazi ya vitongoji.

Huwezi amini kwamba Mzee Wasira ana namba za mpaka Wenyeviti wa Vitongoji nchi nzima ambao humjuza yanayojiri kisiasa katika eneo lake.

Bashungwa anatarajiwa kuratibu moja kati ya mifumo bora kabisa ya kampeni kwa Mkoa wa Kagera wenye nguvu ya horsepower millions Mia tatu ikifumua kuanzia Minziro mpaka Bumbire.

Pale kati viungo wachezeshaji, Mabula na wenzake watachanja mbuga kuanzia Kayenze mpaka Kishiri wakizichakata kura za CCM

Wasira anatarajiwa kuzisokota kura za Mkoa wa Mara bila kuacha hata moja, huku Chenge akiwa harudishi chenji ya kura za Simiyu, hata kama hatagombea, atakuwa injini kubwa kabisa ya ushawishi huku pembeni akiwa ana master Kadogosa.

Bado wengine sijawataja, bila kusahau bwana SMART na Manssor kule Kwimba
 
Hao ni baadhi tu ya watakaolitimua vumbi kuzisaka kura za CCM kanda ya ziwa.

Watasaga sore za viatu kuzisaka kura za mama samia na wagombea wa CCM kupitia a very sophisticated campaign network iliyoanza kusukwa miaka mitatu iliyopita mpaka ngazi ya vitongoji.

Huwezi amini kwamba Mzee Wasira ana namba za mpaka Wenyeviti wa Vitongoji nchi nzima ambao humjuza yanayojiri kisiasa katika eneo lake.

Bashungwa anatarajiwa kuratibu moja kati ya mifumo bora kabisa ya kampeni kwa Mkoa wa Kagera wenye nguvu ya horsepower millions Mia tatu ikifumua kuanzia Minziro mpaka Bumbire.

Pale kati viungo wachezeshaji, Mabula na wenzake watachanja mbuga kuanzia Kayenze mpaka Kishiri wakizichakata kura za CCM

Wasira anatarajiwa kuzisokota kura za Mkoa wa Mara bila kuacha hata moja, huku Chenge akiwa harudishi chenji ya kura za Simiyu, hata kama hatagombea, atakuwa injini kubwa kabisa ya ushawishi huku pembeni akiwa ana master Kadogosa.

Bado wengine sijawataja, bila kusahau bwana SMART
Mnawajua vizuri watu wa ukanda huo? Akili zao siyo kama za wagogo na wamwela au wabondei
 
Hao ni baadhi tu ya watakaolitimua vumbi kuzisaka kura za CCM kanda ya ziwa.

Watasaga sore za viatu kuzisaka kura za mama samia na wagombea wa CCM kupitia a very sophisticated campaign network iliyoanza kusukwa miaka mitatu iliyopita mpaka ngazi ya vitongoji.

Huwezi amini kwamba Mzee Wasira ana namba za mpaka Wenyeviti wa Vitongoji nchi nzima ambao humjuza yanayojiri kisiasa katika eneo lake.

Bashungwa anatarajiwa kuratibu moja kati ya mifumo bora kabisa ya kampeni kwa Mkoa wa Kagera wenye nguvu ya horsepower millions Mia tatu ikifumua kuanzia Minziro mpaka Bumbire.

Pale kati viungo wachezeshaji, Mabula na wenzake watachanja mbuga kuanzia Kayenze mpaka Kishiri wakizichakata kura za CCM

Wasira anatarajiwa kuzisokota kura za Mkoa wa Mara bila kuacha hata moja, huku Chenge akiwa harudishi chenji ya kura za Simiyu, hata kama hatagombea, atakuwa injini kubwa kabisa ya ushawishi huku pembeni akiwa ana master Kadogosa.

Bado wengine sijawataja, bila kusahau bwana SMART
Kama ni hivyo,ccm kwishney!
 
Wasira anatarajiwa kuzisokota kura za Mkoa wa Mara bila kuacha hata moja, huku Chenge akiwa harudishi chenji ya kura za Simiyu, hata kama hatagombea, atakuwa injini kubwa kabisa ya ushawishi huku pembeni akiwa ana master Kadogosa.
Hizi sifa unazowapa hao chawa ni kama vile uchaguzi utakuwa huru na haki.

Je, kama hayo usemayo ni kweli kwa nini huwa mnaiba kura, tena kwa shuruti?!!


View: https://youtu.be/39jaE1HE82k?si=PM0iX0_KHLfEminC
 
Hao ni baadhi tu ya watakaolitimua vumbi kuzisaka kura za CCM kanda ya ziwa.

Watasaga sore za viatu kuzisaka kura za mama samia na wagombea wa CCM kupitia a very sophisticated campaign network iliyoanza kusukwa miaka mitatu iliyopita mpaka ngazi ya vitongoji.

Huwezi amini kwamba Mzee Wasira ana namba za mpaka Wenyeviti wa Vitongoji nchi nzima ambao humjuza yanayojiri kisiasa katika eneo lake.

Bashungwa anatarajiwa kuratibu moja kati ya mifumo bora kabisa ya kampeni kwa Mkoa wa Kagera wenye nguvu ya horsepower millions Mia tatu ikifumua kuanzia Minziro mpaka Bumbire.

Pale kati viungo wachezeshaji, Mabula na wenzake watachanja mbuga kuanzia Kayenze mpaka Kishiri wakizichakata kura za CCM

Wasira anatarajiwa kuzisokota kura za Mkoa wa Mara bila kuacha hata moja, huku Chenge akiwa harudishi chenji ya kura za Simiyu, hata kama hatagombea, atakuwa injini kubwa kabisa ya ushawishi huku pembeni akiwa ana master Kadogosa.

Bado wengine sijawataja, bila kusahau bwana SMART
Sawa. Serekalj ikubali kuweka tume huru ya uchaguzi. Katiba mpya fau polish watuachie hi ngoma ipigwe Kati ya chadema na ccm.
 
Hao ni baadhi tu ya watakaolitimua vumbi kuzisaka kura za CCM kanda ya ziwa.

Watasaga sore za viatu kuzisaka kura za mama samia na wagombea wa CCM kupitia a very sophisticated campaign network iliyoanza kusukwa miaka mitatu iliyopita mpaka ngazi ya vitongoji.

Huwezi amini kwamba Mzee Wasira ana namba za mpaka Wenyeviti wa Vitongoji nchi nzima ambao humjuza yanayojiri kisiasa katika eneo lake.

Bashungwa anatarajiwa kuratibu moja kati ya mifumo bora kabisa ya kampeni kwa Mkoa wa Kagera wenye nguvu ya horsepower millions Mia tatu ikifumua kuanzia Minziro mpaka Bumbire.

Pale kati viungo wachezeshaji, Mabula na wenzake watachanja mbuga kuanzia Kayenze mpaka Kishiri wakizichakata kura za CCM

Wasira anatarajiwa kuzisokota kura za Mkoa wa Mara bila kuacha hata moja, huku Chenge akiwa harudishi chenji ya kura za Simiyu, hata kama hatagombea, atakuwa injini kubwa kabisa ya ushawishi huku pembeni akiwa ana master Kadogosa.

Bado wengine sijawataja, bila kusahau bwana SMART
Tutaenda kuchafua hali ya hewa. Tutawaambia wasukuma nyie ccm ndio mlimuua Magufuli...kama mtapata kura hata 1.
 
Jiandaeni kupokea kofia,vijora na kanga mpk tena baada ya miaka 5.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Bashungwa ni "wassira kwenye mtandao wa 2G"
CCM waiteni akina Polepole kabla maji hayajazidi unga.
 
Hao ni baadhi tu ya watakaolitimua vumbi kuzisaka kura za CCM kanda ya ziwa.

Watasaga sore za viatu kuzisaka kura za mama samia na wagombea wa CCM kupitia a very sophisticated campaign network iliyoanza kusukwa miaka mitatu iliyopita mpaka ngazi ya vitongoji.

Huwezi amini kwamba Mzee Wasira ana namba za mpaka Wenyeviti wa Vitongoji nchi nzima ambao humjuza yanayojiri kisiasa katika eneo lake.

Bashungwa anatarajiwa kuratibu moja kati ya mifumo bora kabisa ya kampeni kwa Mkoa wa Kagera wenye nguvu ya horsepower millions Mia tatu ikifumua kuanzia Minziro mpaka Bumbire.

Pale kati viungo wachezeshaji, Mabula na wenzake watachanja mbuga kuanzia Kayenze mpaka Kishiri wakizichakata kura za CCM

Wasira anatarajiwa kuzisokota kura za Mkoa wa Mara bila kuacha hata moja, huku Chenge akiwa harudishi chenji ya kura za Simiyu, hata kama hatagombea, atakuwa injini kubwa kabisa ya ushawishi huku pembeni akiwa ana master Kadogosa.

Bado wengine sijawataja, bila kusahau bwana SMART
Huyo wasira hata kwao hakubaliki
 
Kine mbona umekimbia? 😆😆😆
CCM inapumulia gesi uchaguzi wa Serikali za mitaa tu wamefanya magumashi kibao tena wakisaidiwa na Mapolisi, wakuu wa wilaya kuchakachua.

Uchaguzi ukiwa wa huru na haki mwaka huu. CCM haiwezi hata kupata wabunge 20
 
Soma upepo wa siasa za sasa, usiende na historia. Upinzani wakipata jimbo labda waibe kura
Mtu aliyevunja upinzani kanda ya ziwa ni Magu..na unarudi kwa mara nyingine tena kwa kasi, Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi Shinyanga ilipata majimbo mawili ...sijui mtamnadi vipi Samia anayeuza nchi kwa waarabu ? labda muibe kura.
 
Back
Top Bottom