Msala: Wema na Dawasco, wizi wa maji

Msala: Wema na Dawasco, wizi wa maji

nifah nikikumbuka jinsi huyu binti alivyokuwa akipandiswa jukwaani na kutukana na kukebehi nashindwa kumuonea huruma. Ila kwa mtindo huo wa kugeuza mita na kwamba yeye ndio anawadai DAWASCO nimemvulia kofia.

Msako uendelee kwa wana Ccm wote
 
Last edited by a moderator:
Tunaomba mamlaka husika ichukue sheria kali kama ambavyo ingemchukulia mtu mwingine yeyote!
 
Kumbe huyu demu anaishi kihuni huni hivi! aende huko mabarabarani akafanye uhuni wake.
 
Maji ya dawasco unit 1 ni Tsh 1663
unit moja = lita 1000

sasa huyu wema maji ya milioni kayafanyia nini? au gazeti "pendwa" wame exajareti hiyo figa.
 
Bilioni saba kawekeza? huyu si alisema nyumba hiyo ni ya kwake baadae akaumbiliwa?kwani ukiwa msanii bongo lazima useme uongo?
 
Bilioni saba kawekeza? huyu si alisema nyumba hiyo ni ya kwake baadae akaumbiliwa?kwani ukiwa msanii bongo lazima useme uongo?

Wasanii bongo ni waongo waongo,anacheza muvi masaki lakini anaishi tandale
 
madam anapenda kitonga hahaha eti mita inasoma kurudi nyuma sasa si itafika sehemu inasomeka yeye ndo anawadai dawasco
hahahahahahaha hahahahahahah uuuuuuwih chaaa sio kwa jibu hili jamani!!

dah?!
 
madam anapenda kitonga hahaha eti mita inasoma kurudi nyuma sasa si itafika sehemu inasomeka yeye ndo anawadai dawasco
Hahahaha umenichekesha sana asubuhi ya leo maana nilikuwa na waza weekend inaanzaje????
na Tbl na wenyewe si watuwekee mabomba ya bia na mita za kusoma unywaji/utumiaji wa :hand: bia majumbani tuwe tuna lipa kwa mwezi
 
Back
Top Bottom