Nomadix
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 2,411
- 6,646
- Thread starter
- #21
Dah! [emoji23] me kujishusha huwa naona jau sana tutayaongea yataisha mpaka huwa wifiako ananambia "Nomadix si useme basi hata samahani jamani"Nina shida ya kujishusha, huwa nikiomba msamaha shemeji yako anashtuka haamini na siku hiyo hata nikimwambia nataka mil 100 atanipa