Ndugai kama binadamu alitoa mawazo yake kwa mtazamo wake. Hata hivyo bila shaka nje ya alichokiamini, kwa nia njema alilazimika kuomba msamaha.
Pamoja na kuomba msamaha kwa nia ya kuwaridhisha wakubwa kinyume cha utaratibu kumbe vita ndiyo bado asubuhi.
Alitoa mawazo yake pia Polepole kwa wakati wake. Huyu kaishia kuwekwa kufuli baada ya kujaribu kukomaa:
Mtu mzima hatishiwi nyau!
Ndugu waungwana wenye kuzielewa hoja za bwana Ndugai - Aluta Continua.
"Bungeni kuna kura ya kukosa imani na mtaani kuna tuojisikia kuzibwa midomo."
Vyama vya siasa agenda zenu kuhusu uhuru wa maoni zinasema je? Kwani nyie mko na uadui wa kudumu na watu? Misahafu si inasema adui yako mpende?
Haipo namna ya kuchachandua uwezekano wa kupatikana katiba tofauti hapa yenye kutufaa sote?
Au kwetu ushabiki ndiyo dili na kila apambanae ni mchuma janga tu kwa wakati wake?
"Ndugai vs uliojichimbia zaidi ngoma bado mbichi."
Tanzania bora zaidi yaweza kuzaliwa hapa!
Pamoja na kuomba msamaha kwa nia ya kuwaridhisha wakubwa kinyume cha utaratibu kumbe vita ndiyo bado asubuhi.
Alitoa mawazo yake pia Polepole kwa wakati wake. Huyu kaishia kuwekwa kufuli baada ya kujaribu kukomaa:
Mtu mzima hatishiwi nyau!
Ndugu waungwana wenye kuzielewa hoja za bwana Ndugai - Aluta Continua.
"Bungeni kuna kura ya kukosa imani na mtaani kuna tuojisikia kuzibwa midomo."
Vyama vya siasa agenda zenu kuhusu uhuru wa maoni zinasema je? Kwani nyie mko na uadui wa kudumu na watu? Misahafu si inasema adui yako mpende?
Haipo namna ya kuchachandua uwezekano wa kupatikana katiba tofauti hapa yenye kutufaa sote?
Au kwetu ushabiki ndiyo dili na kila apambanae ni mchuma janga tu kwa wakati wake?
"Ndugai vs uliojichimbia zaidi ngoma bado mbichi."
Tanzania bora zaidi yaweza kuzaliwa hapa!