inategemea na nature ya kosa lenyewe, kama kamegwa nje ya mahusiano hapo ategemee kibuti hata kama in theory 'kasamehewa'
Muwage single ka mimi maana mie rshp na wanawake wamenishinda mwambie huyo bibie atulizane ahangaike kujiendeleza
Mmmh...Every woman needs a man...
inategemea na nature ya kosa lenyewe, kama kamegwa nje ya mahusiano hapo ategemee kibuti hata kama in theory 'kasamehewa'
Kama kapenda kweli mwambie aendelee kubembeleza asikate tamaa. Siri moja kuhusu sisi wanaume na mambo haya ni kuwa kama tulipenda, alafu tukakosewa na kuacha huwa ni rahisi sana kusamehe only if 3 conditions are met.
1) Hatuna mpenzi wa kureplace immediately.
2) Tumeamua ku maintain close communication.
3) We can't hide the fact that you are missed. We show openly that we regret our decision. We struggle to let you go.
I hope you get my point.