mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Lkn mkuu si tunaambiwa kuwa kauli ya Rais ni sheria Ndogo?Siasa tu hizo
Ukipita getini jamaa hawakuoitishi mpaka utoe hela
Ya ushuru,ishu ni kwamba wanaokusanya ushuru ni kampuni binafsi zimechukua tenda na zinatakiwa kufika hesabu Fulani kwenye halmashauri sasa wakisamehe mahesabu hayatafika
Ata ukiwa na gunia moja unatozwa tu
Anachoongea JPM ni siasa na porojo tu
Lete uzoefu wako ktk hili.Duh!
Mazao ya kilimo ndio hayo hayo ya biashara!Kimsingi jiwe huwa anaongelea mazao ya kilimo (siyo ya biashara) Majuzi nilimuona anasema ni mara ya mwisho anaagiza wakulima wasitozwe kama si zaidi ya tani. Na alisema hata kama mkulima ana tani kadhaa anaweza peleka kidogo kidogo kuepuka tozo! Ntashangaa kama bado wanatoza, labda kama hawakusikia
Nashukuru kwa ushauri mkuu! Nitazingatia.Sawa.. Kwa kuwa alielekeza lile agizo kwa wakuu wa mikoa yte na wakurugenzi, ungejaribu kujua kama kweli bado wanatoza, then utafute namba ya cm ya Rc (au mkurugenzi) wa huko, umuombe mwongozo kama amri ya mkulu inafanya kaz huko a la, kwa jinsi wanavyohofia kutumbuliwa, atahakikisha unasawazisha mambo fasta
Nijuavyo mm wanaangalia gari ulotumia isiwe over one tone.Mara nyingi nimekuwa nikimsikia MH. Rais wetu jpm kuwa kwa mazao ya kibiashara chini ya tani moja hakuna kutozwa ushuru, naomba kwa mwenye kujua zaidi anieleweshe, mfano mm nabeba Korosho iliyobanguliwa toka MTWARA kuja dar labda kilo 200, je msamaha huo utanihusu?
Ahsante mkuu!Nijuavyo mm wanaangalia gari ulotumia isiwe over one tone.