mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Mara nyingi nimekuwa nikimsikia MH. Rais wetu jpm kuwa kwa mazao ya kibiashara chini ya tani moja hakuna kutozwa ushuru, naomba kwa mwenye kujua zaidi anieleweshe, mfano mm nabeba Korosho iliyobanguliwa toka MTWARA kuja dar labda kilo 200, je msamaha huo utanihusu?