Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nathani huwajui wakenya,wakati kama huo ukifika ndio huawanasahau tofauti zao na kuwageuzia kibanoNashauri Magufuli awavamie ajichukulie baadhi ya mikoa aiunganishe Tanzania.
Hatutaki mchezo.
Tusijidanganye, leo hii mbunge wa Tandahimba haruhusiwi kuhutubia wanachama wa chama chake huko monduli, what's next, tuwe makini na viongozi wetuSisi hatuna hiyo kitu bongo tunaheshim sana utawala wa sheria na katiba.. ndio maana unaweza kuona rais akitoka bara makam n mzenji na vice vesa iz tru
ni mKenya gani atataka kuijiunga na ldc?Nashauri Magufuli awavamie ajichukulie baadhi ya mikoa aiunganishe Tanzania.
Hatutaki mchezo.
Hehehe, Jiwe gizanini mKenya gani atataka kuijiunga na ldc?
La hasha ,hiyo sio demokrasia.Uongozi wa rotation ni social engineering mbaya sana sababu muundo huu hauzingatii sera ,maendeleo ya kiongozi ama uwezo.Utapata mjinga,mnafik na mtu mwenye ukabila mkali akitawala nchi vibaya mno "because its our turn" .Uzuri wa demokrasia halisi ni kwamba utalazimika ku-tone down your tribal instincts in order to be accepted by a wider base of voters .Hawa inatakiwa sasa uongozi uende kwa rotation kikabila otherwise wapigane vita wauane haswa hapo ndipo watakapoheshimiana
Mbona kwenu mlikataa rotation na zanji?.au unadhani wao walikuwa hawautaki huo usukani?.
Kule kinya kuna kamsemo kama ka huku kwetu kuwa kuna watu toka sehemu filani hawawezi kuingia ikulu japo ilo limevunjwa na utawala sasa maana jamaa pia anatokea kabila kubwa.Huyu Ndii baada ya kugaragazwa na Jubilee anatafuta mahala pa kujishikisha....and u wonder kwa nini Raila alishindwa...Nasa kua na washauri thick minded kama hawa bila shaka Ikulu wataiona kwenye Runinga
Zanzibar Mpemba anaongoza sasaWalikuwa wanautaka uongozi sana sasa hawa waliokalia kiti nao hawataki kuachia.
Hata pale Zanzibar yatakuja kuwa hivi hivi kama huko.
Kugawanyika kuko wazi kabisa either Zanzibar ijitenge na bara au Pemba ijitenge na Unguja