na kweli mkuuSi ndio mwenye nazo. Angekuwa bado anauza mitumba unadhani hata angekuwa na time nae. Ukitaka kujua idadi ya ndugu ulionao kuwa na vijisenti, hata yule mtoto wa rafiki wa kaka yake mjomba'ke bibi atasema ni binamu yako wa damu.
Nikwambie kitu ndugu yangu! mzazi anayemlea mtoto wake anajulikana tu hata mtoto atafahamu kwamba baba au mama ananilea. Mtoto tangu amezaliwa, amekuwa, amepata ufahamu wa kujuwa mema na mabaya hajawahi muona baba akimnunulia hata kalamu ya shilingi 100 au kumlipia ada ya shule au kununua nguo ya sikukuu, utasemaje amelishwa sumu mama ake? Basi huna pesa kama mimi hapa nenda kamsalimie mwanao hata akuone beba hata pipi kijiti mpelekee na kama mamake hataki ufike kwake mngoje mwanao njiani msalimieHali halisi mtoto analelewa na mama muda wote hata kama watakuwa ndani ya ndoa lakini likitokea ndoa ikaleta mkwaruzano wakatengana bado mtoto ataenda na Mama yake na mda utakavyokuwa unaendelea Baba atakuwa akipeleka huduma kwa watoto lakini bado mzazi wa kike ataendelea kuwalisha sumu watoto kuwa kawaelea mwenyewe bila kusaidiwa na baba watoto na hiyo kuwajengea chuki na baba yao, na watoto wanapokuja kuwa watu wazima wanatakiwa kutumia busara kwa wazazi wao hao!
hahaha umenichekesha na ufyekaji wa miguu plus maji ya moto. hahahhaKwakwel uamuz anao mwenyewe kuna vitu behind the scene hatuvjui.
Ila Mimba unailea kwa shida unakuja unajifungua salama. Unamlea mtoto kwa tabu mpk anakua anafanikiwa. Mama unakula matunda ya mtoto wako. Ndio baba anajitokeza.
Unaweza fyeka miguu. Mimi namngojea m1 wa ndugu yangu maji ya moto yatamuhusu.
na coca baridi[emoji41]Haya tuma salamu kwa watu sita.