Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Sana Tu tunapokezanaAjipigie tu. Maana ni mwendo wa kupokezana vijiti tu
Kwani kaachana na yule Mwenye dread au ni mwendo wa kunyang'anyana vijiti.
unayemsema wewe ni msambazaji wa kazi za wasanii napia ni muandaaji wa matamasha ya injili ila anayezungumzwa hapa ni msanii wa bongoflevaHivi kuna msami wangapi?
hahahahahahahahahaahahaaaaaaaaaaaaaaaahVibibi vya bongo muvi vimeamua,hapa ni kutoa singo moja tu ikihit namng'oa Asha boko
Tuonane upige chorus mkuuhahahahahahahahahaahahaaaaaaaaaaaaaaaah
Mkuu kwa Asha Boko lazima nikusaidie chorus na studio ntalipia...Tuonane upige chorus mkuu
Wawili nadhani promota na huyo msakata rhumba /mbongo fleva!Hivi kuna msami wangapi?
Yule promota ni msama sio msami.Wawili nadhani promota na huyo msakata rhumba /mbongo fleva!
Sro kupenda tu mkuu, hawa wanatumia fursa pale inapopatikanaKajala na Wadada wote wa Bongo movie wanapenda Vijana waliowazid Akiuelewa anakutunukuu tuu na Huduma utapewaa *Tamuuu* sema
kuna ARV.Hofu yangu mimi maradhi tu
Aiseeee!We endelea kulala na mbuzi mtafute mwenzako wa porini anaoga nje daslam wanakudandia
Ha ha haha han mie mgeni hukuAjipigie tu. Maana ni mwendo wa kupokezana vijiti tu