hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 454
Kwa aliye fuatilia kampeni za kuziba pengo liloachwa na Dk Shogo Mlozi aliyekuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki R.I.P.kwake
Kuna kabinti kamejitokeza kwanza nampa hongera kwa ujasiri na uthubutu wa kuamua kugombea lakini kuna kitu.
Amenishangaza katika kujinadi kwake
Kwanza kasema yeye amewahi kuwa mshindi wa mashindano ya ulimbwende...na kweli kana muonekane wenye ushawishi. Japo sijajua kama ni sifa mojawapo ili uchaguliwe...
Mwishoni kasisitiza sana wabunge wachague dodo sasa wabunge wanapaswa kuchagua mtu compitent au wanapaswa kuchagua dodo,na sijajua nini maana ya DODO.
Nadhani kama alivosema Dr.Ndugulile kuna haja ya kuchukua hatua za makusudi kwa serikali kuandaa viongozi watakao kua kio katika kwa mataifa ya nje kwa kizazi cha sasa na kijacho.
Soma Pia: Nini sababu ya Ushiriki mdogo wa Vijana katika Uchaguzi Tanzania?
Kuna kabinti kamejitokeza kwanza nampa hongera kwa ujasiri na uthubutu wa kuamua kugombea lakini kuna kitu.
Amenishangaza katika kujinadi kwake
Kwanza kasema yeye amewahi kuwa mshindi wa mashindano ya ulimbwende...na kweli kana muonekane wenye ushawishi. Japo sijajua kama ni sifa mojawapo ili uchaguliwe...
Mwishoni kasisitiza sana wabunge wachague dodo sasa wabunge wanapaswa kuchagua mtu compitent au wanapaswa kuchagua dodo,na sijajua nini maana ya DODO.
Nadhani kama alivosema Dr.Ndugulile kuna haja ya kuchukua hatua za makusudi kwa serikali kuandaa viongozi watakao kua kio katika kwa mataifa ya nje kwa kizazi cha sasa na kijacho.
Soma Pia: Nini sababu ya Ushiriki mdogo wa Vijana katika Uchaguzi Tanzania?