Msanifu wa jengo ni Mtanzania ila alichofanya bora tungechukua Mwarabu

Mwambie huyo popoma maana ya "Elegant room" na kwa nini hawajasema big rooms au huge sized room bali wamesema Elegant rooms.
 
Sina mashaka na uwezo wako wa kufikiri ila napata tabu sana na namna unavyofikiri maana naona unawaza tu
 
Mwambie huyo popoma maana ya "Elegant room" na kwa nini hawajasema big rooms au huge sized room bali wamesema Elegant rooms.
elegant applies to what is rich and luxurious but restrained by good taste. a sumptuous but elegant dining room. rare suggests an uncommon excellence.
Cha kwanza kilichotajwa ni size- hivyo vingine ni qualifiers tu
 
elegant applies to what is rich and luxurious but restrained by good taste. a sumptuous but elegant dining room. rare suggests an uncommon excellence.
Cha kwanza kilichotajwa ni size- hivyo vingine ni qualifiers tu
Acha blah blah leta picha ya hizo rooms kubishana bila evidence ni sawa na ukichaa, mimi nimeshaingia humo na kila floor naijua na huwezi kunidanganya chochote kihusu Mwanza au miradi ya mwanza iwe project za sasa na za wakati ujao na kila chocho ya kila mradi mimi najua, ili jambo lako lingekuwa la kweli ningeshalizumgumzia sehemu husika hata kabla yako, nazani una jambo lako na haupo hapa kwaajili ya kurekebisha bali kuchafua na kuharibu, naomba niishie hapa🙏
 
Mkuu ukubwa wa vyumba si wa kiwango cha hoteli ya nyota tano- sasa hapo wivu uko wapi?
Em tuambie hotel ya nyota tano inatakiwa kuwa na vyumba vya ukubwa gani, na hio hotel ya nssf vyumba vyake vinaukubwa gani?

Ulete na picha lakin
 
Siyo laima iwe ya nyota tano.

Watanzania bado tu wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…