Msanifu wa jengo ni Mtanzania ila alichofanya bora tungechukua Mwarabu

Msanifu wa jengo ni Mtanzania ila alichofanya bora tungechukua Mwarabu

Nyota za hoteli haziangalii ukubwa wa jengo bali wingi wa facility zinazopatikana na kiwango cha ubora wake, umaliziaji na urahisi wa miundombinu. Kuna hoteli zina vyumba kumi na ni nyota 5.
mfano?
 
Kaka hivi unajua ni miradi mingapi NSSF wamekula hasara?
Kwahiyo na hiyo Hotel italeta hasara? unadhani huo ni kama project uchwara zile za porini kule Kigamboni! unalijua jiji la Mwanza au unalisikia tu yaani wageni wanaoingia Mwanza ishindwe kuaford hiyo Hotel. %40 ya domestic Passengers wa ATCL wanaenda au kutoka Mwanza!na bado hawaja advance kuwa International Airport kwa kukosa Passenger building ambayo bajeti hii wamewatengea pesa kuijenga. Tukatae au tukubali Mwanza ni giant City kwa nchi hii baada ya Dar na wanastahili kuwa na mamiradi makubwa kama hayo na yakaleta faida! labda kwa mtu asieijua Mwanza na miji mingine hii inakazi kubwa sana kuja kuifikia lile jiji la wasukuma. Kwa miradi waliyonayo ya lile Daraja la kigongo_busisi na lile la daraja la juu la sgr pale Mkuyuni itawapaisha sana.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 

5-star hotel room size​

The standard size of a 5 star hotel room will vary, particularly from country to country.

Some regulators say that a room should be a minimum of 200 square feet (18.5 square metres) excluding the bathroom. In certain areas of Spain, the 5 star hotel room size for double occupancy must be at least 183 square feet (17 square metres). Meanwhile, 5 star hotel rooms in the US are generally expected to be over 400 square feet (37 square metres).

Experience, function, comfort and amenities will largely outweigh square footage when it comes to guest satisfaction, particularly for those paying a premium for 5 star or luxury accommodation.

5-star hotels in particular must therefore provide guests with exceptional service. Amenities and services to consider including are:

  • Laundry, ironing, dry cleaning and shoe polishing
  • Luxury robes & slippers
  • Safe and lock boxes
  • Full length mirrors with lighting
  • Air conditioning
  • Smart, flat-screen TV
  • Fully stocked mini bar complete with all relevant accessories
  • High-speed wifi
  • Multiple lighting settings
  • Bedding with high thread-count
  • Blackout shades
  • Luxury toiletries and personal care products
  • Coffee machine
  • Comfortable seating and entertaining area
  • 24/7 gym access
  • Pool, spa and sauna
  • 24/7 access to room service

ili kuweka mambo yote hayo chumba lazima liwe kikubwa kiasi​

Shuda nini, badilisha jina uite nyota 4 au 3, kikubwa soko walilolenga liwafae
 
Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaji aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabidi achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5.

View attachment 2660462
Aliyesanifu ni mgogo, sasa ulitegemea nini? Ulishawahi kuingia kwenye nyumba zao za tembe? Hakuna tembe yenye nafasi kama Noah
 
Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaji aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabidi achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5.

View attachment 2660462
Mjengo umshushwa tu pwaa. Hakuna cha landscaping wala nini. Nyumba zote nyuma ya hotel, pia za kulia na kushoto ziondolewe hadi mita 200. Sehemu ipandwe ukoka, miti mizuri. Ijengwe swimming pool na outdoor bar + BBQ grill
 
That is a good question. The answer to that is that we go for the standard, especially when the other part is not local. This issue has cropped up because the would-be investor is a foreigner.
Some is not all bro...the other part ain't local too,so standards seems vast not only the dimensions you gave
 
Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaji aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabidi achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5.

View attachment 2660462
Huko mwanza hotel ya nyota 5 nani anaenda kulala,hao wazungu wa migodi wanakuja na ndege zao jioni wanarudi kulala masaki
 
Hii ni kati ya miradi ya kifisadi iliyokuwa ilibuniwa na nssf ikishirikiana na CCM kupiga pesa za wafanyakazi. Msonga, Dr Dau....
Shemeji yake na dau ndio alikua anapewa tender ya kufunga umeme majengo yote ya nssf....sasa hivi ni bilionea
 
Ulishafika ukapaona hakuna parking? Kwa taarifa yako hiyo hotel ina kiwanja kikubwa mno maana kinavuka hata upande wa pili wa barabara. Mpango wao ilikuwa waweke flyover ili kule ziwani kuwe na parking pia pamoja na sehemu ya kupunga upepo wa bahari![emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kile kiwanja cha ziwani hawakukinunua tena
 
Mimi nilikuwa najua nyota 5 ni jina tu kumbe ni hadhi ya hotel iyo ya nyota 3 na 4 inakuwaje?
 
Wewe ndio hujaelewa ,na labda huna exposure na uzoefu kwenye swala husika, hoteli inapokuwa na nyota tano kuna standard pia lazima uziweke hata kwenye hizo rooms ikiwemo ukubwa ,huwezi kumlipisha mtu laki mbili per day halafu umuwrke kwenye chumba kidogo kama choo ,kwa ufupi hiyo hoteli haitokuwa na ubora na itakosa wateja wa hadhi hiyo ya nyota tano, mleta mada yupo sahihi
Unadhani waliobuni waliwaza mambo ya wateja? Watu washavuta 10% hayo mengine mtajuana kwenye maandamano yenu uchwara
 
Kila floor walikuwa na cateotization zake, sio vyumba vyote ninkwaajili.ya VIP au.VVIP people, kuna vyumba vya makabwel kama sisi, nyota tano inaangalia watu wa aina zote kwa ngazi zote na ina facilities zote muhimu na std za kamataifa, alafu hiyo picha uliyoweka hapo ni mali yangu ungenipa apprec.. yangu kwanza.
 
Back
Top Bottom