Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅amechoka kachokaa kachakaaa
Vipi kuhusu Mgosi Mkoloni, Afande Sele na Dudu Baya?20% ni mmoja ya wasanii wengi wa zamani ambao hawakujiongeza, au kusoma alama za nyakati.
Ni wasanii wenzao wachache tu mfano AY, Mwana FA, Sugu, Prof J, nk. ndiyo wamefanikiwa kujiongeza na pia kusoma hizo alama za nyakati.
Mungu aingilie katiMara ya mwisho nilikutana nae Yemen(Tandale) 'amechoka kachokaa kachakaaa' nahisi nae anavuta unga
Maisha ya bongoNi msanii mwenye kipaji kikubwa mno. Nakumbuka baadhi ya nyimbo zake kali kama:
1. Mama Neema
2. Binti kimanzi ft Bushoke
3. Ya nini malumbano
4. Tamaa mbaya nk.
Miaka kama minne nyuma niliwahi kumuona akiwa anakatiza kama mfungwa gereza la Kingolwira Morogoro. Walikuwa wanaenda kupiga kazi sehemu na wafungwa wenzake kama kumi hivi.
Una miaka mingapi?Zama zake zimeisha ni Kama ajibu
ChaiMiaka kama minne nyuma niliwahi kumuona akiwa anakatiza kama mfungwa gereza la Kingolwira Morogoro. Walikuwa wanaenda kupiga kazi sehemu na wafungwa wenzake kama kumi hivi.
Tanzania hakujawahi kuwa na msanii mwenye usela mavi akawa na future ya maana.Mara ya mwisho nilikutana nae Yemen(Tandale) 'amechoka kachokaa kachakaaa' nahisi nae anavuta unga