Msanii Afu Ra wa Gangstarr Foundation kutoka Brooklyn Marekani atua Bongo aka Mzizima

Msanii Afu Ra wa Gangstarr Foundation kutoka Brooklyn Marekani atua Bongo aka Mzizima

hahaaa..tatizo wewe ulianza kunipa shit"" eti nikasikilize segere "" kama ungenipa profile yake tangu awali"" kuwa ameshafanya Nazi nahao manguli "" wala nisinge thubutu kumvunjia heshima....

ila nilikujibu vile ili na wewe uweze kutambua kuwa katika hii tasnia na mimi nimo"" hahaa
Hahaa tupo pamoja man real recognise real
 
Siku wakimleta Jeru tha Damaja, au wakimleta Akinyele unisitue.
Pharaoeh monch nimezimiss sana purukushani zake.
Cannabis ndio kawa mwanajeshi ehh
Haaaaaa Akinyele hadi Camron anamjua alimwambia Jay-Z Put it in ya mouth.

I will Akinyele - Meaning I will Put it in ya Mouth.

"Beyonce fiancee, check my 2nd LP
I might bring it back, that's your girl, that's your world
Had the thing, fucking singing bout slinging crack
Mr. Rocafella stop, stop, stop it fella
Still got our acapellas, but I will Akinyele-ya" -You Got luv it(Jay-z Diss Song)
 
Haaaaaa Akinyele hadi Camron anamjua alimwambia Jay-Z Put it in ya mouth.

I will Akinyele - Meaning I will Put it in ya Mouth.

"Beyonce fiancee, check my 2nd LP
I might bring it back, that's your girl, that's your world
Had the thing, fucking singing bout slinging crack
Mr. Rocafella stop, stop, stop it fella
Still got our acapellas, but I will Akinyele-ya" -You Got luv it(Jay-z Diss Song)
Kindi la diplomatics namkubali sana Cam'ron hasa kwenye free style
 
Kwa watanzania, wakisikia mtu ama msanii kaja kutoka Marekani basi wao wanajuwa kuwa ni bonge la msanii. Huyu jamaa sidhani hata kama huko Marekani anajulikana. Alikuja Omarion watu kibao wakashangilia wakati ukweli Omarion aliishiwa toka 2004 na wala hajulikani anaishi wapi kwa sasa huko Marekani ila hapa Bongo jamaa (Omarion) anaogopewa. Wabongo tuna shida sana za kiakili na kutojitambua.
 
Back
Top Bottom