TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

Zatara

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
716
Reaction score
511
Kwa taarifa zilizorushwa na kituo cha redio Clouds FM ni kwamba mwanamuziki Albert Mangwea amefariki dunia akiwa south Africa.

1678786588543.png

Taarifa zaidi zitafuatia.

------
Albert Mangwea maarufu kama Ngwair alikua mmoja wa washiriki wa kikundi cha muzika cha Chamber Squad kikiwa na washiriki kama Jeez Mabovu na wengine.

Hapa karibuni amekuwa akihusishwa na utumiaji wa madawa ya kulevya ingawa haijawahi thibitishwa na ilikuwa ni habari kwa muundo wa 'rumor'.

Alijizolea umaarufu kwa nyimbo kama Mikasi na Nisikilize Mi na nyingine nyingi alizowahi shirikishwa na wasanii kama Professa Jay, Nuru, TID, Chidi Benz n.k.

May he Rest In Peace.
 
Source Clouds fm jioni hii. RIP Mangweah
 
Albert Mangwea? Sembe au ajari
 
Inasemekana tangu alipolala jana hakuamka. RIP

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kama kweli R.I. P

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Msanii wa miondoko ya Hip hop Kibongo bongo,Albert Mangwea Aka KaObama afariki dunia akiwa Kwa madiba (south) source Clouds Fm
 
Back
Top Bottom