Wewe sio Mtanzania na ni ant social that is why you ask that question.who was he?
Watu wako wanachuana tu kutupostia 'eti naskia...'ha haaa, hiyo wizara ya afya mimi imenipita kushoto kabisaaaaaa
haya tunasubiri ripoti sasa baada ya kuongea udaku
Ona huyu mburula naye...eti Clouds ndiyo inawafanya wasanii wafe haraka.
Kwa akili kama hizi ndo maana mtaendelea kula mivumbi milele.
heri yake ray c
kibongobongo ndo tunavyoenda.......Watu wako wanachuana tu kutupostia 'eti naskia...'
Mara weshasema kuwa hata taarifa ya uthibitisho wa kifo haijatolewa na daktari.